Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

MASWALI YA KITABU CHA ESTA I

Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA ESTA I

1. 
Nani alikua mfalme wa kwanza katika kitabu cha Esta? (1:1)

2. 
Mfalme alimpenda nani kuliko wanawake wote na kupata Kigali na neema mbele zake? (2:17)

3. 
Hamani alikufaje? (8:7)

4. 
Nani alitaka kuwaangamiza Wayahudi wote? (3:6)

5. 
Mordekai alimwagiza Esta asidhihirishe nini mbele ya Mfalme? (2:10)

6. 
Nini kilikua kigezo cha kuangalia katika kutafuta malkia mpya? (2:2)

7. 
Nani alichukua uongozi baada ya Kifo cha Hamani? (8:1-2)

8. 
Nani aliwaokoa wayahudi katika vifo? (4:16-17)

9. 
Kitabu cha Esta kina sura ngapi?

10. 
Ni nani alimkasirisha mfalme kwa kutotii alipoitwa? (1:12)

11. 
Esta alikua ametoka kabila gani? (2:5-7)

12. 
Kwanini Hamani alitaka kuwauwa watu wa kabila la wayahudi? (3:5-6)

13. 
Ni kwa siku ngapi Esta alifunga kabla ya kwenda kuonana na mfalme? (4:16)

14. 
Mke wa Hamani aliitwa nani? ( 5:10)

15. 
Ni kitu gani mfalme alifanya alipokosa usingizi? ( 6:1)

clock.png

Time is Up!

clock.png

Time's up

3 thoughts on “MASWALI YA KITABU CHA ESTA I”

  1. Given says:
    April 7, 2025 at 11:53 pm

    Good Qns.

    Reply
  2. Given Noah says:
    April 7, 2025 at 11:54 pm

    Waooh

    Reply
  3. Given Noah says:
    April 7, 2025 at 11:54 pm

    Waooh like the questions

    Reply

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  2. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress