Menu
NDOTO ZANGU
  • Home
  • Orodha ya Ndoto
  • Quizzes & Surveys
  • Contant
  • English Articles
  • Kuhusu
  • MASOMO KWA WANAWAKE
  • Donation Confirmation
  • Donation Failed
  • Donor Dashboard
  • User
  • Login
  • Register
  • Members
  • Logout
  • Account
  • Password Reset
NDOTO ZANGU

MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)

Posted on March 31, 2023

____Maswali ya biblia_____

1.je ni nani mfalme gani aliye ingia katika hekalu la Mungu na kufukiza uvumba kama kuhani Mungu akampiga kwa ukoma?

______________
2. Je. Amri ya tatu inasemaje?

_______________
3.je ni makosa gani ambayo daudi alimkosea Mungu hata,. Mungu akamwadhibu?

________________
4.je wana wa Yusufu wakiume walikuwa wangapi na ni akina nani?

________________
5. Maana ya Shalomu?

________________
6.ni mifupa ya nani iliyo fufua mtu katika biblia?

________________
8.je Bwana Yesu alifanya miujiza ya kuongeza samaki na mikate mara ngapi?

______________
9.je stefano alikufa kwa kifo gani?

______________
10.katika mitume wa Yesu (thenashara) ni wangapi vifo vyao vimerekodiwa katika biblia.

_____________

Bwana Yesu akubariki, shea na kwa wengine.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

 

 

07/02/2023

___MASAHIHISHO LEO____

MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)
(Maswali ya biblia)

1.je ni nani mfalme gani aliye ingia katika hekalu la Mungu na kufukiza uvumba kama kuhani Mungu akampiga kwa ukoma?

Jibu. MFALME UZIA
Soma. 2nyakati 26;16-23
______________
2. Je. Amri ya tatu inasemaje?

Jibu.Kutoka 20:7
Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
_______________
3.je ni makosa gani ambayo daudi alimkosea Mungu hata,. Mungu akamwadhibu?

Jibu. 1)UZINZI NA KUUWA PASIPO HATIA
alizini na mke wa Uria kisha baadaye akamwua Uria katika vita
Soma. 2samweli 11:1-17

2)Aliwahesabu Israeli kwa kutaka kujitumainisha juu ya jeshi lake badala ya Mungu.
Soma. 1Nyakati 21;1-17
________________
4.je wana wa Yusufu wakiume walikuwa wangapi na ni akina nani?

Jibu. Wawili
1)Manase
2)Efraimu
Soma. Mwanzo 41;50-52
________________
5. Maana ya Shalomu?

Jibu. AMANI
Soma. Waamuzi 6;24

________________
6.ni mifupa ya nani iliyo fufua mtu katika biblia?

Jibu. ELISHA
Soma. 2wafalme 13:20-21
________________
8.je Bwana Yesu alifanya miujiza ya kuongeza samaki na mikate mara ngapi?

Jibu. MARA MBILI
1)Aliwalisha makutano kwa hesabu ya wanaume tuu 4000 (bila wanawake watoto kuhesabiwa) Kwa Mikate 7 na visamaki vichache
Soma. Malko 8;3-9

2)Aliwalisha makutano wanaume 5000 (bila hesabu ya wanawake na watoto) kwa mikate 5 na visamaki 2.
Soma. Yohana 6;8-10
______________
9.je stefano alikufa kwa kifo gani?

Jibu. KWA KUPIGWA MAWE
Soma. Matendo ya mitume 7;54-60
______________
10.katika mitume wa Yesu (thenashara) ni wangapi vifo vyao vimerekodiwa katika biblia.

Jibu. WAWILI
1)YUDA. Alijinyonga
soma Mathayo 27:3-5
2)YAKOBO. Alikatwa kichwa na Mfalme Helode.
soma matendo 13;1
_____________

Bwana Yesu akubariki, shea na kwa wengine.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments

Recent Posts

  • MTIHANI WA BIBLIA (part 21)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 20)
  • MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 18)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  2. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  3. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  4. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  5. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA

Archives

  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • December 2021
  • November 2021

Categories

  • Ndoto kutoka kwa Mungu.
  • Ndoto za Adui (shetani)
  • Ndoto za tahadhari.
  • Uncategorized
  • Wanawake

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2023 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz