Menu
NDOTO ZANGU
  • Home
  • Orodha ya Ndoto
  • Quizzes & Surveys
  • Contant
  • English Articles
  • Kuhusu
  • MASOMO KWA WANAWAKE
NDOTO ZANGU

Category: Wanawake

HIVYO HIVYO WANAWAKE NA WAJIPAMBE KWA MAVAZI YA KUJISITIRI, PAMOJA NA ADABU NZURI, NA MOYO WA KIASI, SI KWA KUSUKA NYWELE

Posted on December 8, 2022December 8, 2022

FUNDISHO MAALUMU KWA MWANAMKE WA KIKRISTO. Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo litukuzwe, sifa na Utukufu ni vyake milele na milele, Amina. Karibu katika makala ya mafundisho maalumu kwa mwanamke wa kikristo. Moja ya vitu ambavyo maandiko yanawaagiza Wanawake wa kikristo wanaoukiri uchaji wa Mungu ni kujipamba kwa mavazi ya kujisitiri, yaani kutokuvaa…

USIMNAJISI BINTI YAKO, ILI KUMFANYA AWE KAHABA.

Posted on November 20, 2022November 20, 2022

FUNDISHO MAALUMU KWA WAZAZI NA WALEZI Umeshawahi kujiuliza ni kwanini dhambi ya uzinzi na uasherati ndio iliyo na kasi kubwa sana sasa hivi juu ya uso wa nchi? Si kwa watoto wadogo, si kwa vijana, si kwa wazee, wote ni watamanifu, si kwa maskini si kwa matajiri, si kwa viongozi, wote ni watu wa kutamani,…

KUVAA SURUALI NI DHAMBI KWA MWANAMKE WA KIKRISTO?

Posted on October 30, 2022

Fundisho maalumu kwa mwanamke Kuvaa suruali kwa mwanamke wa Kikristo ni dhambi mbele za Mungu na si sawa hata kidogo, kwa sababu biblia imesema ni mchukizo kwa Bwana Mungu wako, haijalishi wewe ni nani, una cheo gani au wadhifa gani ni machukizo mbele za Mungu. Kumbukumbu La Torati 22:5 Mwanamke asivae mavazi YAMPASAYO mwanamume, wala…

SITIRI MWILI WAKO, USIWE CHANZO CHA MWENGINE KUTAMANI

Posted on October 30, 2022October 30, 2022

FUNDISHO MAALUMU KWA MWANAMKE Jina la Bwana na Mungu Wetu Yesu Kristo litukuzwe daima, ikiwa wewe ni dada, binti, au mama, basi nakukaribisha tujifunze neno la Mungu kwa pamoja. Kama mwanamke, unapaswa uwe nadhifu kwa kuusitiri mwili wako pale uwapo sehemu za mkusanyiko wa watu wengi hasa wa jinsia tofauti (hasa kwa wale walio dhaifu…

Je! Ni wanawake gani wanazungumziwa katika (Zaburi 68:11)?

Posted on October 15, 2022October 15, 2022

SWALI: Je! Ni wanawake gani hao ambao wanazungumziwa katika katika cha Zaburi? (Zaburi 68:11) [Zaburi 68:11] [11] Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa; JIBU: Nakusalimu kupitia Jina la Yesu lipitalo majina yote, nakukaribisha tupate kujifunza maneno yatupayo uzima wa milele. Wanawake wanaozungumziwa hapo ni wale wanawake ambao waliompokea Yesu Kristo katika…

Mtupe chini Yezebeli kama unataka kuwa upande wa Mungu

Posted on October 13, 2022October 17, 2022

FUNDISHO MAALUMU KWA MWANAMKE Shalom, Jina la Mwokozi Wetu Yesu Kristo litukuzwe milele na milele, sifa na ukuu ni vyake. Amina, karibu tujifunze neno la Mungu. Kama wewe ni mwanamke (mama au binti), unayetaka kumcha Mungu na kuwa upande wake daima kama ilivyokuwa kwa wanawake walioutii uchaji wa Mungu kama  Sara, Hana, Mariamu, Elizabeth, n.k,…

WANAWAKE WATAKATIFU WA ZAMANI WALIOMTUMAINI MUNGU

Posted on September 7, 2022October 30, 2022

Nakusalimu Kwa Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, Karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa na mwanga wa maisha yetu…. Leo kwa Neema za Bwana tutajifunza mambo kutoka kwa wanawake watakatifu wa zamani, naamini wewe  kama Binti, dada,Mama, una cha kujifunza kutoka kwa hawa wanawake Lakini kabla ya kuendelea mbele hebu tueke msingi kidogo,…….

UNAPOOTA UNAJIFUNGUA MAANA YAKE NINI?

WALAKINI ATAOKOLEWA KWA UZAZI WAKE

Posted on September 2, 2022October 30, 2022

Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele na milele, Yeye aliye Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Aliyekuwepo, aliyeko na atakayekuja…. Nikukaribishe Dada, Binti, Mama, tuyatafakari Maneno ya Mungu wetu ili tuongeze Maarifa zaidi kila wakati…. Imetupasa tuwe watu wa kuongeza maarifa kila siku, na tunayaongeza Maarifa kwa kusoma Neno la Mungu, Biblia takatifu,…

YUAAIBISHA KICHWA CHAKE

Posted on August 26, 2022October 30, 2022

Karibu tujifunze Maneno ya Uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo, Mfalme wa wafalme na Bwana wa Mabwana.. Kuna kipindi nilifikia nikaona kila kitu Nina maamuzi yangu binafsi, hata nani aniambie, anishauri bado niliona Nina uwezo wa kufanya maamuzi yangu jinsi nipendavyo, kitu ambacho kiuhalisia ni kweli, na huenda nilikuwa sawa kabisa… Kumbe nilikuwa nakosea sana…

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2023 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress