Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

Month: March 2023

MTIHANI WA BIBLIA (part 21)

Posted on March 31, 2023

____Maswali ya biblia_____ 1.je ni nani aliye wakosesha Israeli kupigwa walipo enda kipigana naTaifa Ai Taifa dogo sana, na kupelekea Israel kupigwa. ________________ 2.je wana wa Asafu ni kabila gani? _________________ 3.Je nimfalme gani aliye oteshwa kuwa ufalme wake umekatwa kimebaki kisiki katika shina? ___________________ 4. Je mke wa kwanza aliye mwoa Daudi nia nani?…

MTIHANI WA BIBLIA (part 20)

Posted on March 31, 2023

___Maswali ya biblia___ 1.Je paulo alikutana wapi na Timotheo kwa mara ya kwanza? ______________ 2. Je ni wapelelezi gani(walio tumwa na Musa) waliofanikiwa kuifikia nchi ya ahadi? _______________ 3.je Amri ya kwanza inasemaje? _______________ 4.je Amri ya Nane inasemaje? ______________ 5.Amri ya 9 inasemaje ______________ 6.Amri ya 10 inasemaje ______________ 7.je ndugu yake Habili alikuwa…

MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)

Posted on March 31, 2023

____Maswali ya biblia_____ 1.je ni nani mfalme gani aliye ingia katika hekalu la Mungu na kufukiza uvumba kama kuhani Mungu akampiga kwa ukoma? ______________ 2. Je. Amri ya tatu inasemaje? _______________ 3.je ni makosa gani ambayo daudi alimkosea Mungu hata,. Mungu akamwadhibu? ________________ 4.je wana wa Yusufu wakiume walikuwa wangapi na ni akina nani? ________________…

MTIHANI WA BIBLIA (part 18)

Posted on March 31, 2023

____maswali ya biblia_____ 1.je Danieli ni kabila gani? _______________ 2.je ni nabii gani aliye agizwa na Mungu kutembea uchi? ______________ 3.je ni Nabii gani aliye tabiri kufa kwa Mfalme Ahabu vitani? ________________ 4.wenye uhai wa 4 wana sura ngapi? ________________ 5. Je hekalu la Mungu linawakilisha nini kwetu sisi katika agano jipya? __________________ 6.je katika…

MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Posted on March 31, 2023

___Maswali ya biblia___ 1.yule mkushi alikuwa anasoma kitabu gani alipo kutana na filipo? ________________ 2.je amri ya 6 inasemaje? ________________ 3.je vile vinara saba vya taa vinawakilisha nini katika agano jipya? _________________ 4.Katika waraka wa Yuda, je Yuda aliwaandikia akina nani? ________________ 5.Je ni mwanamke gani katika biblia aliye leta miungu katika Israeli? ________________ 6.wakati…

MTIHANI WA BIBLIA (part 16) (MASWALI YA BIBLIA)

Posted on March 31, 2023

1.Je amri ya pili ni inasemaje? ______________ 2. Je ni watu gani ambao Paulo aliwaandikia kuwa wamelogwa? ______________ 3.je ni mtoto gani wa Daudi aliye uliwa na Sulemani? _________________ 4.Elisha alikufa kifo gani? __________________ 5.je ni nabii gani aliye simamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu? ___________________ 6.wana wa kuhani Eli wanaitwa wakina nani? __________________…

MTIHANI WA BIBLIA (part 1️⃣5️⃣) MASWALI YA BIBLIA

Posted on March 31, 2023

1.Je Samsoni kwanini aliyechoma mashamba ya wafilisti? ___________ 2. Ni saa ngapi Bwana Yesu alisurubiwa na saa ngapi alikufa? _____________ 3.je katika biblia ni kosa gani alilolifanya DINA binti wa Yakobo. ______________ 4.je Bwana Yesu alipindua meza hekaluni mara ngapi? _______________ 5. Je Bwana Yesu alikuwa akipendelea kwenda kuomba wapi? ______________ 6.je wakati Zerubabeli anasimamia…

MTIHANI WA BIBLIA (part 14) (MASWALI YA BIBLIA)

Posted on March 31, 2023

1.Kwanini Mfalme Daudi hakumjengea Mungu hekalu? __________________ 2.Sulemani alikuwa na wake wangapi? _________________ 3. Jemedari wa jeshi la Sauli aliitwa nani? ________________ 4.Kuhani wa kwanza kwenye biblia alikuwa ni nani? _________________ 5.Mtoto wa Yezebeli aliitwa nani __________________ 6.Je ni watu gani waliokuwa wapinzani wa Nehemia katika kuujenga Yerusalemu? ________________ 7.katika biblia ni nani ambaye punda…

MTIHANI WA BIBLIA (PART 13) (MASWALI YA BIBLIA)

Posted on March 31, 2023

1.je ni mtoto gani wa sauli ambaye Daudi alimwoa? ________________ 2.Naamani alienda kujiosha katika mto gani kutakaswa ukoma wake? _______________ 3. Katika kabila za Israeli ni kabila gani ulikuwa uzao wa kifalme? ____________________ 4.Je Daudi alipakwa mafuta mara ngapi na wapi? ___________________ 5.Je ni mji gani ambao Barnaba na Paulo waliwekewa mikono na kanisa kwa…

MTIHANI WA BIBLIA (PART1️⃣2️⃣) (MASWALI YA BIBLIA)

Posted on March 31, 2023

1.je kwanini Miriamu Bwana Mungu alimpiga kwaukoma? _______________ 2.ni nini maana ya pentekoste? _______________ 3.je nikitabu gani kinacho onesha amri kumi za Mingu? Na sura ya ngapi. __________________ 4. Je ni mfalme gani aliye ungana na SULEMANI kumsaidia kulijenga hekalu. __________________ 5.je mke wa Musa anaitwa nani? __________________ 6.je ni nani aliye mlea Musa kule…

  • 1
  • 2
  • Next

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress