Menu
NDOTO ZANGU
  • Home
  • Orodha ya Ndoto
  • Quizzes & Surveys
  • Contant
  • English Articles
  • Kuhusu
  • MASOMO KWA WANAWAKE
  • Donation Confirmation
  • Donation Failed
  • Donor Dashboard
  • User
  • Login
  • Register
  • Members
  • Logout
  • Account
  • Password Reset
NDOTO ZANGU

MTIHANI WA BIBLIA (part 16) (MASWALI YA BIBLIA)

Posted on March 31, 2023

1.Je amri ya pili ni inasemaje?

______________
2. Je ni watu gani ambao Paulo aliwaandikia kuwa wamelogwa?

______________
3.je ni mtoto gani wa Daudi aliye uliwa na Sulemani?

_________________
4.Elisha alikufa kifo gani?

__________________
5.je ni nabii gani aliye simamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu?

___________________
6.wana wa kuhani Eli wanaitwa wakina nani?

__________________
7.je Amri ya 7 inasemaje?

_________________
8.je mfalme sauli alipo weka nadhili kuwa asile mtu wawapo vitani je ni nani aliye kula akalifedhehesha jeshi?

___________________
9.je Shimei alimkosea nini Mfalme Daudi?

___________________
10. Kwanini Absalomu alikamatwa mapema.

___________________

 

Nakutakia mtihani mwema .

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

 

 

 

 

04/03/2023

MASAHIHISHO YA MTIHANI LEO

MTIHANI WA BIBLIA (part 16)
(MASWALI YA BIBLIA)

1.Je amri ya pili ni inasemaje?
Jibu. Kutoka 20:4-6

[4]Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.

[5]Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

[6]nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
______________
2. Je ni watu gani ambao Paulo aliwaandikia kuwa wamelogwa?

Jibu. WAGALATIA
Soma. Wagalatia 3:1
______________
3.je ni mtoto gani wa Daudi aliye uliwa na Sulemani?

Jibu. ADONIA
Soma. 1wafalme 2;19-25
_________________
4.Elisha alikufa kifo gani?

Jibu. Alikufa kwa ugonjwa.
Soma. 2Wafalme 13;14-20
__________________
5.je ni nabii gani aliye simamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu?

Jibu. NABII ELIYA MTISHBI
Soma 1Wafalme 17;1
___________________
6.wana wa kuhani Eli wanaitwa wakina nani?
Jibu. Finehasi na HOFNI
Soma. 1Samweli 1;3
__________________
7.je Amri ya 7 inasemaje?
Jibu. Usizini
Soma. Kutoka 20;14
_________________
8.je mfalme sauli alipo weka nadhili kuwa asile mtu wawapo vitani je ni nani aliye kula akalifedhehesha jeshi?

Jibu. YONATHANI
Soma.1Wafalme 14;26-27
___________________
9.je Shimei alimkosea nini Mfalme Daudi?

Jibu. ALIMLAANI DAUDI PASIPO KOSA.
Soma. 2Samweli 16:5-14
___________________
10. Kwanini Absalomu alikamatwa mapema.

Jibu. Nywele zake zillikuwa ndefu sana hivyo zilinasa kwenye mti.
Soma. 2Samweli 18;9-15

___________________

BWANA YESU akubariki sana shea na kwa wengine pia.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments

Recent Posts

  • MTIHANI WA BIBLIA (part 21)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 20)
  • MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 18)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  2. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  3. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  4. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  5. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA

Archives

  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • December 2021
  • November 2021

Categories

  • Ndoto kutoka kwa Mungu.
  • Ndoto za Adui (shetani)
  • Ndoto za tahadhari.
  • Uncategorized
  • Wanawake

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2023 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz