MASWALI YA KITABU CHA MWANZO Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA MWANZO I Hapo mwanzo Mungu aliumba nini? Samaki Mbingu na nchi Binadamu Bahari Adamu aliishi miaka mingapi? 930 69 100 150 Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake? Wanyama Alama Fimbo Nyota Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza? Yakobo Esau Kaini Ibrahimu Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina? Upinde mawinguni Ya sadaka ya kuteketezwa La damu Ya kulindwa Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari? Eseki Sitna Rehobothi Kijakazi wa Sarai alikua nani? Hajiri Dina Rebeka Raheli Yusufu aliuzwa kwa watu gani? Waishmaeli Beer-sheba Wamisri Wagareri Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto? Mwokaji Yusufu Waganga Mnyweshaji Kaini alikua anafanya kazi gani? Mwokaji Mvuvi Mkulima Mchunga kondoo Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao? Lameki Ibrahimu Nuhu Henoko Mungu alipumzika siku ya ngapi? Add description here! Tatu Pili Kwanza Saba Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani? Mwanaume Mwanamke Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto?? Misri Sodoma na Gomora Kaanani Gerari Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima? Mwenyewe Nyoka Adamu 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Amina sana m,Bwana akubariki mpendwa wetu
RACHEL JOHN LUTIGA
Mungu awabariki
Amen akubariki nawe pia..
Amen.
Ubarikiwe sana sana pia
Amen
Asante kwa maswali
Shalom maswal mazuri ya kutujenga kiimani Asante sana
Nzuri
Nice question
Maswali ni mazuri ya kufanya watu tusomapo biblia tuwe makini kuelewa
Amen
Mafundisho mazuri sana.
Amen
Barikiwa
Amen sana
Biblia