Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA MWANZO I

Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari?

Kijakazi wa Sarai alikua nani?

Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani?

Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima?

Yusufu aliuzwa kwa watu gani?

Mungu alipumzika siku ya ngapi?

Add description here!

Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza?

Hapo mwanzo Mungu aliumba nini?

Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto??

Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina?

Kaini alikua anafanya kazi gani?

Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao?

Adamu aliishi miaka mingapi?

Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto?

Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake?

1 out of 1

clock.png

Time is Up!

clock.png

Time's up

22 thoughts on “MASWALI YA KITABU CHA MWANZO”

  1. Magdalena says:
    May 16, 2022 at 1:03 pm

    Amina sana m,Bwana akubariki mpendwa wetu

    Reply
    1. J says:
      May 13, 2024 at 5:57 pm

      RACHEL JOHN LUTIGA

      Reply
  2. Danny saul says:
    November 1, 2023 at 8:31 am

    Mungu awabariki

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      February 6, 2024 at 9:25 pm

      Amen akubariki nawe pia..

      Reply
    2. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      August 9, 2024 at 11:01 pm

      Amen.

      Reply
  3. HENOCK says:
    December 12, 2023 at 8:51 am

    Ubarikiwe sana sana pia

    Reply
  4. Gbonnie says:
    May 11, 2024 at 7:21 am

    Amen

    Reply
  5. Rachel Lutiga says:
    May 13, 2024 at 6:00 pm

    Asante kwa maswali

    Reply
  6. Aneth says:
    May 24, 2024 at 7:23 am

    Shalom maswal mazuri ya kutujenga kiimani Asante sana

    Reply
  7. Gilbert says:
    July 10, 2024 at 5:39 am

    Nzuri

    Reply
  8. Godlove says:
    November 6, 2024 at 6:59 pm

    Nice question

    Reply
  9. Abeidnego says:
    January 29, 2025 at 7:44 pm

    Maswali ni mazuri ya kufanya watu tusomapo biblia tuwe makini kuelewa

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      April 11, 2025 at 8:00 am

      Amen

      Reply
  10. Micchael Paul says:
    February 7, 2025 at 8:01 am

    Mafundisho mazuri sana.

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      April 11, 2025 at 8:00 am

      Amen

      Reply
  11. Micchael Paul says:
    February 7, 2025 at 8:11 am

    Barikiwa

    Reply
  12. Apostle Sylvester says:
    February 13, 2025 at 1:48 am

    Amen sana

    Reply
  13. WITNESS WILLICK says:
    March 19, 2025 at 2:39 pm

    Biblia

    Reply
  14. Joy yonah says:
    April 29, 2025 at 11:10 am

    I like studying bible through question. I wish to be part of you

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      May 5, 2025 at 8:34 am

      karibu sana je unaitwa nani? na unaweza kuwasiliana nasi kwa namba hizi 0789001312

      Reply
  15. Joy yonah says:
    April 29, 2025 at 11:11 am

    Nimebarikiwa

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      May 5, 2025 at 8:34 am

      Amen uzidi kubarikiwa.

      Reply

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Comments

  1. Lillie on MASWALI YA KITABU CHA 1 WAFALME, I
  2. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress