MASWALI YA KITABU CHA MWANZO Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA MWANZO I Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza? Kaini Esau Yakobo Ibrahimu Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto?? Kaanani Sodoma na Gomora Gerari Misri Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima? Nyoka Adamu Mwenyewe Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani? Mwanamke Mwanaume Kijakazi wa Sarai alikua nani? Hajiri Dina Rebeka Raheli Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao? Ibrahimu Nuhu Lameki Henoko Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina? Ya kulindwa La damu Ya sadaka ya kuteketezwa Upinde mawinguni Yusufu aliuzwa kwa watu gani? Waishmaeli Beer-sheba Wamisri Wagareri Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto? Yusufu Mnyweshaji Waganga Mwokaji Adamu aliishi miaka mingapi? 69 930 150 100 Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake? Fimbo Alama Wanyama Nyota Kaini alikua anafanya kazi gani? Mkulima Mchunga kondoo Mvuvi Mwokaji Hapo mwanzo Mungu aliumba nini? Binadamu Bahari Mbingu na nchi Samaki Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari? Sitna Rehobothi Eseki Mungu alipumzika siku ya ngapi? Add description here! Saba Tatu Pili Kwanza 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Amina sana m,Bwana akubariki mpendwa wetu
RACHEL JOHN LUTIGA
Mungu awabariki
Amen akubariki nawe pia..
Ubarikiwe sana sana pia
Amen
Asante kwa maswali
Shalom maswal mazuri ya kutujenga kiimani Asante sana