MASWALI YA KITABU CHA MWANZO Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA MWANZO I Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima? Nyoka Mwenyewe Adamu Kaini alikua anafanya kazi gani? Mkulima Mchunga kondoo Mwokaji Mvuvi Adamu aliishi miaka mingapi? 930 150 69 100 Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto? Mwokaji Mnyweshaji Waganga Yusufu Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari? Sitna Eseki Rehobothi Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake? Wanyama Fimbo Nyota Alama Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto?? Misri Sodoma na Gomora Gerari Kaanani Mungu alipumzika siku ya ngapi? Add description here! Saba Pili Kwanza Tatu Hapo mwanzo Mungu aliumba nini? Samaki Mbingu na nchi Binadamu Bahari Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina? Ya sadaka ya kuteketezwa La damu Upinde mawinguni Ya kulindwa Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza? Ibrahimu Kaini Esau Yakobo Kijakazi wa Sarai alikua nani? Hajiri Rebeka Dina Raheli Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani? Mwanamke Mwanaume Yusufu aliuzwa kwa watu gani? Beer-sheba Wamisri Waishmaeli Wagareri Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao? Henoko Nuhu Lameki Ibrahimu 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Amina sana m,Bwana akubariki mpendwa wetu
RACHEL JOHN LUTIGA
Mungu awabariki
Amen akubariki nawe pia..
Amen.
Ubarikiwe sana sana pia
Amen
Asante kwa maswali
Shalom maswal mazuri ya kutujenga kiimani Asante sana
Nzuri
Nice question