MASWALI YA KITABU CHA MWANZO Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA MWANZO I Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari? Sitna Eseki Rehobothi Kijakazi wa Sarai alikua nani? Hajiri Raheli Rebeka Dina Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani? Mwanaume Mwanamke Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima? Nyoka Adamu Mwenyewe Yusufu aliuzwa kwa watu gani? Waishmaeli Beer-sheba Wamisri Wagareri Mungu alipumzika siku ya ngapi? Add description here! Saba Tatu Pili Kwanza Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza? Esau Yakobo Kaini Ibrahimu Hapo mwanzo Mungu aliumba nini? Bahari Mbingu na nchi Samaki Binadamu Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto?? Misri Kaanani Gerari Sodoma na Gomora Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina? Ya kulindwa Upinde mawinguni Ya sadaka ya kuteketezwa La damu Kaini alikua anafanya kazi gani? Mkulima Mchunga kondoo Mvuvi Mwokaji Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao? Lameki Ibrahimu Nuhu Henoko Adamu aliishi miaka mingapi? 100 150 930 69 Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto? Mwokaji Mnyweshaji Yusufu Waganga Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake? Nyota Fimbo Wanyama Alama 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Amina sana m,Bwana akubariki mpendwa wetu
RACHEL JOHN LUTIGA
Mungu awabariki
Amen akubariki nawe pia..
Amen.
Ubarikiwe sana sana pia
Amen
Asante kwa maswali
Shalom maswal mazuri ya kutujenga kiimani Asante sana
Nzuri
Nice question
Maswali ni mazuri ya kufanya watu tusomapo biblia tuwe makini kuelewa
Amen
Mafundisho mazuri sana.
Amen
Barikiwa
Amen sana
Biblia
I like studying bible through question. I wish to be part of you
karibu sana je unaitwa nani? na unaweza kuwasiliana nasi kwa namba hizi 0789001312
Nimebarikiwa
Amen uzidi kubarikiwa.