MASWALI YA KITABU CHA MWANZO Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA MWANZO I Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake? Nyota Fimbo Alama Wanyama Kaini alikua anafanya kazi gani? Mwokaji Mvuvi Mchunga kondoo Mkulima Yusufu aliuzwa kwa watu gani? Beer-sheba Wagareri Waishmaeli Wamisri Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza? Yakobo Ibrahimu Esau Kaini Mungu alipumzika siku ya ngapi? Add description here! Saba Kwanza Tatu Pili Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto?? Gerari Misri Sodoma na Gomora Kaanani Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina? Upinde mawinguni La damu Ya kulindwa Ya sadaka ya kuteketezwa Hapo mwanzo Mungu aliumba nini? Samaki Mbingu na nchi Binadamu Bahari Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao? Ibrahimu Nuhu Henoko Lameki Kijakazi wa Sarai alikua nani? Rebeka Hajiri Raheli Dina Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani? Mwanamke Mwanaume Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto? Mnyweshaji Mwokaji Waganga Yusufu Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima? Nyoka Adamu Mwenyewe Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari? Rehobothi Eseki Sitna Adamu aliishi miaka mingapi? 930 150 100 69 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Amina sana m,Bwana akubariki mpendwa wetu
RACHEL JOHN LUTIGA
Mungu awabariki
Amen akubariki nawe pia..
Amen.
Ubarikiwe sana sana pia
Amen
Asante kwa maswali
Shalom maswal mazuri ya kutujenga kiimani Asante sana
Nzuri
Nice question
Maswali ni mazuri ya kufanya watu tusomapo biblia tuwe makini kuelewa
Mafundisho mazuri sana.
Barikiwa