Menu
NDOTO ZANGU
  • Home
  • Orodha ya Ndoto
  • Quizzes & Surveys
  • Contant
  • English Articles
  • Kuhusu
  • MASOMO KWA WANAWAKE
  • Donation Confirmation
  • Donation Failed
  • Donor Dashboard
  • User
  • Login
  • Register
  • Members
  • Logout
  • Account
  • Password Reset
NDOTO ZANGU

MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Posted on March 31, 2023

___Maswali ya biblia___

1.yule mkushi alikuwa anasoma kitabu gani alipo kutana na filipo?

________________
2.je amri ya 6 inasemaje?

________________
3.je vile vinara saba vya taa vinawakilisha nini katika agano jipya?

_________________
4.Katika waraka wa Yuda, je Yuda aliwaandikia akina nani?

________________
5.Je ni mwanamke gani katika biblia aliye leta miungu katika Israeli?

________________
6.wakati Bwana amefufuka ni nani aliye sema hataamini mpaka atakapo mwona Bwana kwa macho?

________________
7.je wenye uhai wanne wana mabawa mangapi?

_________________
8. Bwana Yesu ule mfano wa mpanzi, je mbegu ilikuwa ina maana gani?

_________________
9.je ni nani aliye mdanganya Hawa?

__________________
10. Je LUTU alikuwa na watoto wangapi?

___________________

Ubarikiwe na Bwana ,shea na kwa wengine.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

 

 

 

 

05/03/2023

MASAHIHISHO YA MTIHANI LEO

MTIHANI WA BIBLIA (part 17)
___Maswali ya biblia___

1.yule mkushi alikuwa anasoma kitabu gani alipo kutana na filipo?

Jibu. Isaya 53;7-8
________________
2.je amri ya 6 inasemaje?

Jibu. Usiue
Soma. Kutoka 20;13
________________
3.je vile vinara saba vya taa vinawakilisha nini katika agano jipya?

Jibu. Makanisa saba
1)Efeso
2) Smirna
3)Pergamo
4)Thiatira
5)Sardi
6)Filadelfia
7)Laokadia (tulilopo sasa)

Soma ufunuo 1;20
_________________
4.Katika waraka wa Yuda, je Yuda aliwaandikia akina nani?

Jibu. Kanisa la Kristo ulimwenguni kote (walio itwa)
Soma Yuda 1;1

Pia ukihitaji kujifunza juu ya kitabu hiki mafundisho yake na maonyo yake tutafute kwa namba hizi 0652274252 au 0693036618
________________
5.Je ni mwanamke gani katika biblia aliye leta miungu katika Israeli?

Jibu. YEZEBELI
Soma. 1Wafalme 16:31-33 pia soma 1wafalme 19:1-2
________________
6.wakati Bwana amefufuka ni nani aliye sema hataamini mpaka atakapo mwona Bwana kwa macho?

Jibu. Tomaso
Soma. Yohana 20;24-29
________________
7.je wenye uhai wanne wana mabawa mangapi?

Jibu. SITA
Soma. Ufunuo 4:8
_________________
8. Bwana Yesu ule mfano wa mpanzi, je mbegu ilikuwa ina maana gani?

Jibu. NENO LA MUNGU
soma. Luka 8;11
_________________
9.je ni nani aliye mdanganya Hawa?

Jibu. Nyoka
Soma. Mwanzo 3;1-5
__________________
10. Je LUTU alikuwa na watoto wangapi?

Jibu. Watoto wanne
=Wawili mabinti zake aliotoka nao sodoma
=Wawili ni kwa mabinti zake yeye mwenyewe (walipo mlevya baba yao na kulala nae) watoto hao ni Moabu na Benami.
___________________

Ubarikiwe na Bwana ,shea na kwa wengine.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments

Recent Posts

  • MTIHANI WA BIBLIA (part 21)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 20)
  • MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 18)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  2. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  3. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  4. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  5. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA

Archives

  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • December 2021
  • November 2021

Categories

  • Ndoto kutoka kwa Mungu.
  • Ndoto za Adui (shetani)
  • Ndoto za tahadhari.
  • Uncategorized
  • Wanawake

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2023 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz