Menu
NDOTO ZANGU
  • Home
  • Orodha ya Ndoto
  • Quizzes & Surveys
  • Contant
  • English Articles
  • Kuhusu
  • MASOMO KWA WANAWAKE
  • Donation Confirmation
  • Donation Failed
  • Donor Dashboard
  • User
  • Login
  • Register
  • Members
  • Logout
  • Account
  • Password Reset
NDOTO ZANGU

MTIHANI WA BIBLIA (PART 13) (MASWALI YA BIBLIA)

Posted on March 31, 2023

1.je ni mtoto gani wa sauli ambaye Daudi alimwoa?

________________
2.Naamani alienda kujiosha katika mto gani kutakaswa ukoma wake?

_______________
3. Katika kabila za Israeli ni kabila gani ulikuwa uzao wa kifalme?

____________________
4.Je Daudi alipakwa mafuta mara ngapi na wapi?

___________________
5.Je ni mji gani ambao Barnaba na Paulo waliwekewa mikono na kanisa kwa agizo la Bwana?

___________________
6.Ni mfalme gani aliye tumia vyombo vya hekaluni kwa anasa Mungu akamwadhibu siku hiyo hiyo?

_______________
7.Je ni nabii gani aliye tabiri kutoroka kwa mfalme Sedekia kwa kuuvunja ukuta wa yerusalemu kisha kukamatwa na kupelekwa babeli?

________________
8.Ni nabii gani aliye tabiri kukamatwa kwa paulo na kufungwa miguu na mikono?

__________________
9.je ni Nabii gani aliye tabiri (wakati wa kanisa la kwanza la mitume) ujio wa njaa kubwa kutokea katika dunia nzima katika siku za Klaudio.

___________________
10.Je ni nani aliye itabiria Yuda kuwa yeyote atakaye baki hapo Yuda atakufa kwa makali ya upanga na kwa njaa ,bali atakaye toka kumtumikia mfalme wa Babeli ataishi?

____________________

Mtihani mwema Mjoli wa BWANA.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

 

 

 

 

01/03/2023

MASAHIHISHO YA MTIHANI LEO

MTIHANI WA BIBLIA (PART 13)
(MASWALI YA BIBLIA)

1.je ni mtoto gani wa sauli ambaye Daudi alimwoa?

Jibu. MIKALI
Soma. 1Samweli 18:27-28
________________
2.Naamani alienda kujiosha katika mto gani kutakaswa ukoma wake?

Jibu. YORDANI
Soma.2Wafalme 5:10-14
_______________
3. Katika kabila za Israeli ni kabila gani ulikuwa uzao wa kifalme?

Jibu. YUDA
Soma. Mwanzo 49:10 pia soma. 2Samweli 7:16-17
____________________
4.Je Daudi alipakwa mafuta mara ngapi na wapi?

Jibu. Mara tatu
=Mara ya kwanza Bethlehemu (nyumbani kwa Yese) 1samweli 16:12-13
=Mara ya pili Hebroni kuwa mfalme wa Yuda 2samweli 2:3-4
=Mara ya tatu Hebron kuwa mfalme wa Israeli. Soma 2Samweli 5:2-4

___________________
5.Je ni mji gani ambao Barnaba na Paulo waliwekewa mikono na kanisa kwa agizo la Bwana?

Jibu. ANTIOKIA
Soma. Matendo ya mitume 13:1-3
___________________
6.Ni mfalme gani aliye tumia vyombo vya hekaluni kwa anasa Mungu akamwadhibu siku hiyo hiyo?

Jibu. BELSHAZA (mfalme wa Babeli)
Soma. Danieli 5:1-31
_______________
7.Je ni nabii gani aliye tabiri kutoroka kwa mfalme Sedekia kwa kuuvunja ukuta wa yerusalemu kisha kukamatwa na kupelekwa babeli?

Jibu. NABII EZEKIELI
Soma. Ezekieli 12:1-13
________________
8.Ni nabii gani aliye tabiri kukamatwa kwa paulo na kufungwa miguu na mikono?

Jibu. NABII AGABO
Soma. Matendo ya mitume 21:10-13
__________________
9.je ni Nabii gani aliye tabiri (wakati wa kanisa la kwanza la mitume) ujio wa njaa kubwa kutokea katika dunia nzima katika siku za Klaudio.

Jibu. NABII AGABO
Soma. Matendo ya mitume 11:28
___________________
10.Je ni nani aliye itabiria Yuda kuwa yeyote atakaye baki hapo Yuda atakufa kwa makali ya upanga na kwa njaa ,bali atakaye toka kumtumikia mfalme wa Babeli ataishi?
Jibu. NABII YEREMIA
Soma. Yeremia 21:1-10

____________________

BWANA YESU akubariki Mjoli wa BWANA.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments

Recent Posts

  • MTIHANI WA BIBLIA (part 21)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 20)
  • MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 18)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  2. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  3. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  4. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  5. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA

Archives

  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • December 2021
  • November 2021

Categories

  • Ndoto kutoka kwa Mungu.
  • Ndoto za Adui (shetani)
  • Ndoto za tahadhari.
  • Uncategorized
  • Wanawake

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2023 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz