Menu
NDOTO ZANGU
  • Home
  • Orodha ya Ndoto
  • Quizzes & Surveys
  • Contant
  • English Articles
  • Kuhusu
  • MASOMO KWA WANAWAKE
  • Donation Confirmation
  • Donation Failed
  • Donor Dashboard
  • User
  • Login
  • Register
  • Members
  • Logout
  • Account
  • Password Reset
NDOTO ZANGU

MTIHANI WA BIBLIA (part 14) (MASWALI YA BIBLIA)

Posted on March 31, 2023

1.Kwanini Mfalme Daudi hakumjengea Mungu hekalu?

__________________
2.Sulemani alikuwa na wake wangapi?

_________________
3. Jemedari wa jeshi la Sauli aliitwa nani?

________________
4.Kuhani wa kwanza kwenye biblia alikuwa ni nani?

_________________
5.Mtoto wa Yezebeli aliitwa nani

__________________
6.Je ni watu gani waliokuwa wapinzani wa Nehemia katika kuujenga Yerusalemu?

________________
7.katika biblia ni nani ambaye punda wake aliongea na kwanini?

_________________
8.Hadasa ni nani katika biblia?

_________________
9. (Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ) je kifungu hiki kinapatikana wapi katika biblia

_________________
10. Kitabu cha ufunuo Yohana ,Mtume Yohana alikiandika akiwa wapi?

Nakutakia mtihani mwema Mjoli wa Bwana.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

 

 

 

02/03/2023

MASAHIHISHO YA MTIHANI LEO

MTIHANI WA BIBLIA (part 14)
(MASWALI YA BIBLIA)

1.Kwanini Mfalme Daudi hakumjengea Mungu hekalu?

Jibu. 1)Kwasababu Daudi mikono yake ilimwaga damu nyingi sana
Soma. 1Nyakati 22:7-8
2)Alikuwa amezungukwa na maadui wengi
Soma 1wafalme 5:3
__________________
2.Sulemani alikuwa na wake wangapi?

Jibu. 1000
Ambapo wake 700 na masulia 300
Soma 1Wafalme 11:1-3
_________________
3. Jemedari wa jeshi la Sauli aliitwa nani?

Jibu. ABNELI
Soma. 1Samweli 14:50
________________
4.Kuhani wa kwanza kwenye biblia alikuwa ni nani?

Jibu. MELKIZEDEKI
Soma. Mwanzo 14;18
_________________
5.Mtoto wa Yezebeli aliitwa nani?

Jibu. ==Athalia 2Wafalme 8;18
==Yoramu 2wafalme 8-16
__________________
6.Je ni watu gani waliokuwa wapinzani wa Nehemia katika kuujenga Yerusalemu?

Jibu. SANBALATI NA TOBIA NA GESHEMU (Wengine walikuwa nyuma ya hawa)
Soma .Nehemia 4:2
________________
7.katika biblia ni nani ambaye punda wake aliongea na kwanini?

Jibu. BAALAMU
Sababu. Aliongea kwasababu alipigwa na Baalam nabii wa uongo alipokuwa akitaka kwenda kuwa laani Israeli kwa mfalme Balaki

Ukihitaji habari zaidi kijifunza zaidi juu ya Baalam nabii wa uongo nitafute kwa namba hizi 0652274252 au 0693036618
_________________
8.Hadasa ni nani katika biblia?

Jibu. Malkia ESTA
Soma. Esta 2:7
_________________
9. (Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ) je kifungu hiki kinapatikana wapi katika biblia

Jibu. 1petro 1:5
_________________
10. Kitabu cha ufunuo Yohana ,Mtume Yohana alikiandika akiwa wapi?

Jibu. Katika kisiwa cha PATMO
Soma. Ufunuo 1:9

BWANA YESU akubariki sana Mjoli wa Bwana.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments

Recent Posts

  • MTIHANI WA BIBLIA (part 21)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 20)
  • MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 18)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  2. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  3. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  4. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  5. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA

Archives

  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • December 2021
  • November 2021

Categories

  • Ndoto kutoka kwa Mungu.
  • Ndoto za Adui (shetani)
  • Ndoto za tahadhari.
  • Uncategorized
  • Wanawake

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2023 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz