Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

kitabu cha Matendo ya Mitume

Welcome to your kitabu cha Matendo ya Mitume

1. 
Mkushi aliyebatizwa na Filipo, alikuwa akisoma kitabu gani?

2. 
Akeldama maana yake nini?

3. 
Maana ya jina Tabitha ni nini?

4. 
Aliyeficha sehemu ya mali, baada ya kuuza shamba ni nani?

5. 
Watu wangapi waliongezeka kwa Mahubiri ya Petro siku ile ya Pentekoste?

6. 
Mtume Paulo hapo kwanza alikuwa akiitwa?

7. 
Bwana Yesu aliwatokea wanafunzi wake kwa muda wa siku ngapi?

8. 
Kitabu cha Matendo ya Mitume kiliandikwa kwa nani?

9. 
Nani aliteuliwa kuchukua nafasi ya Yuda?

10. 
Bwana Yesu alichukuliwa juu katika Mlima gani?

11. 
Yuda alikufa kwa..?

12. 
Ni jina lipi liwapasalo wanadamu kuokolewa kwalo?

13. 
Roho Mtakatifu alishuka mara ya kwanza katika siku gani?

14. 
Sauli alitokewa na Bwana Yesu wakati anaelekea?

15. 
Ni idadi gani ya watu iliyokuwa imekusanyika ghorofani?


7 thoughts on “kitabu cha Matendo ya Mitume”

  1. timotheo Kija says:
    February 4, 2024 at 11:51 am

    Yesu ni mwokozi

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      February 6, 2024 at 9:22 pm

      Amen

      Reply
  2. Jaspeter Tumaini says:
    November 25, 2024 at 4:48 pm

    Yesu ni Bwana

    Reply
  3. Micchael Paul says:
    February 7, 2025 at 7:56 am

    Asante

    Reply
  4. willison pauline says:
    February 11, 2025 at 5:21 pm

    mitihani hii imejaa utukufu na inatujenga na kutuimarisha kiroho katika kristo Yesu

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      February 17, 2025 at 9:58 am

      Amen

      Reply
  5. Joshua ngombo says:
    April 10, 2025 at 5:14 pm

    Very nice questions bt no answers

    Reply

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Comments

  1. Lillie on MASWALI YA KITABU CHA 1 WAFALME, I
  2. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress