Menu
NDOTO ZANGU
  • Home
  • Orodha ya Ndoto
  • Quizzes & Surveys
  • Contant
  • English Articles
  • Kuhusu
  • MASOMO KWA WANAWAKE
  • Donation Confirmation
  • Donation Failed
  • Donor Dashboard
  • User
  • Login
  • Register
  • Members
  • Logout
  • Account
  • Password Reset
NDOTO ZANGU

KUOTA UMEKUFA

Posted on December 30, 2022

Shalom,Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele….

Karibu tujifunze Maneno ya Uzima kwa njia ya ndoto….Kama una ndoto inakutatiza basi usisite kuiandika kwenye box la maoni chini….

Ndoto ya kuota umekufa uwa ina maana nyingi kulingana na ujumbe ambao ulipaswa kufika mahali husika…

Ikiwa umeota ndoto hii na unaona ndani yako una msukumo wa kufahamu maana yake basi ujue kuna jambo Mungu anataka ulifahamu

Ikiwa wewe ni Mke au mume wa mwingine na umekuwa na tabia ya kufanya mambo ya uzinzi na usharati  kwa siri basi fahamu kabisa kifo kipo katikati yako..Kwsababu Biblia inasema katika wanandoa kifo ndio kitakachowatenganisha…

Mwanzo 20:3

[3]Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia, Umekuwa mfu wewe kwa sababu ya mwanamke huyu uliyemtwaa, maana ni mkewe mtu.

Kwa kulifahamu hilo yakupasa haraka sana uache mwenendo wako huo mbaya na utubu dhambi zako na uishi maisha Matakatifu…

Ikiwa tabia yako sio hiyo ya kwanza

Basi fahamu kuwa ni maisha yako ya  Kiroho yapo chini sana,huenda umekuwa mtu wa kupenda anasa sana,Mambo ya ulimwengu huu, usiyeweza kujizuia…Hivyo ikiwa ni mtendaji wa mambo hayo hapo unajulishwa umekuwa mfu…

Na suluhisho ni Kumwamini Yesu Kristo na kutubu dhambi zako zote kwa kumaanisha kuziacha na kubatizwa ubatizo sahihi wa maji Mengi na kwa jina lake Yesu Kristo..

1 Timotheo 5:6

[6]Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.

 

Shalom…….

Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
watakatifuwasikuzamwisho
watakatifuwasikuzamwisho
Admin
2 months ago

Hakika hiyo ni kweli kabisa

0
Reply

Recent Posts

  • MTIHANI WA BIBLIA (part 21)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 20)
  • MTIHANI WA BIBLIA (PART 19)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 18)
  • MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  2. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  3. Lucky on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  4. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
  5. jame on KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA

Archives

  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • December 2021
  • November 2021

Categories

  • Ndoto kutoka kwa Mungu.
  • Ndoto za Adui (shetani)
  • Ndoto za tahadhari.
  • Uncategorized
  • Wanawake

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2023 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz