SEEK ETERNAL LIFE , NOT JUST LIFE. There’s difference between “life” and “eternal life”. All creatures have got life in them,e.g, animals,birds,plants and human beings.Yet not all of them have eternal life. Eternal life is something else,which a person must seek and find;lest they end up living just the ordinary life here on earth.A life…

Je tunapaswa kushika sabato kwa namna gani?
Nakusalimu Kwa Jina Kuu la Mwokozi wetu Yesu Kristo,Jina litupasalo sisi kuokolewa kwalo…. Karibu katika muendelelezo wa kujifunza kwa njia ya Maswali na Majibu..” ●Swali Naomba nifahamishwe hili,je tunapaswa kuishika sabato kwa namna gani? ●Jibu Kabla ya kuanza kujua kuna umuhimu gani wa kuishika sabato au tunapaswa kuishika kwa namna gani ni heri ungejua kwanza…

MHESHIMU MUNGU, ACHA UDHURU.
Shalom, ni wakati mwingine tena Bwana Yesu ametupa nafasi ya kujifunza, akituonya na kutukumbusha maana Neno lake ni taa iongozayo miguu yetu. Ulishawahi kukaa na kujiuliza maswali haya?…Ni nani aliye kupa afya na uzima, ni nani aliyekupa kazi, ni nani aliyekupa akili timamu, ni nani aliyekupa uwezo wa kufanya biashara uliyo nayo wakati huu, ni…

TII INJILI YA KWELI
Katika kipindi hiki tulichopo cha siku hizi za mwisho, ni kipindi kibaya sana, ni kipindi cha kizazi kiovu na kibovu mno kinachojulikana kama KIZAZI CHENYE UKAIDI (Matendo 2:40), kizazi ambacho kinapingana na kushindana na kweli ya Mungu, kizazi ambacho hakitaki kulitii neno la Mungu, kizazi ambacho watumishi wa Mungu hawataki kusema kweli ya Mungu bali…

HIVYO HIVYO WANAWAKE NA WAJIPAMBE KWA MAVAZI YA KUJISITIRI, PAMOJA NA ADABU NZURI, NA MOYO WA KIASI, SI KWA KUSUKA NYWELE
FUNDISHO MAALUMU KWA MWANAMKE WA KIKRISTO. Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo litukuzwe, sifa na Utukufu ni vyake milele na milele, Amina. Karibu katika makala ya mafundisho maalumu kwa mwanamke wa kikristo. Moja ya vitu ambavyo maandiko yanawaagiza Wanawake wa kikristo wanaoukiri uchaji wa Mungu ni kujipamba kwa mavazi ya kujisitiri, yaani kutokuvaa…

Je kuna umuhimu wowote wa kukemea makosa hadharani?
Jina la Bwana na mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe! Karibu tujifunze neno la Mungu wetu.. Kwa Neema za Bwana huu utakuwa ni mwendelezo wetu wa kujifunza Biblia kwa njia ya Maswali na Majibu,hivyo tunakukaribisha sana… ●SWALI Je ni sahihi kukemea makosa mbele ya watu wengi? ●JIBU Embu tusome kwanza katika Maandiko Matakatifu tuone yanasemaje…….

Mwanamke uliyeokoka tabia hii ipo ndani yako” sehemu ya pili
Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele na milele…. Nakukaribisha katika mwendelezo wa sehemu ya pili ya somo letu…Ni kwa Neema za Bwana hata imewezekana tena.. Leo kwa Baraka za Mungu tutaangazia tabia nyingine ambayo ukiwa nayo wewe mwanamke uliyeokoka basi inaweza ikaleta matunda mengi sana katika ufalme wa Mungu…na tabia hiyo si nyingine…

WHAT WAS THE COLOUR OF THE GARMENT WHICH THE LORD WAS CLOTHED WITH:RED OR PURPLE?
WHAT WAS THE COLOUR OF THE GARMENT WHICH THE LORD JESUS WAS CLOTHED WITH:RED OR PURPLE? Question: Reading the books of Mark 15:17 and John 19:2,we see that the Lord Jesus was clothed with a purple robe.However, the Bible says in Matthew 27:28,that he was clothed with a red garment.Between the two,which is the correct…

FOR THE UNBELIEVING HUSBAND IS SANCTIFIED BY THE WIFE.
FOR THE UNBELIEVING HUSBAND IS SANCTIFIED BY THE WIFE. Question: According to 1 Corinthians 7:14,is it true that if an unbeliever marries or gets married to a believer,then the unbelieving spouse is considered as being righteous? 1 Corinthians 7:13_14; “And the woman which hath an husband that believeth not,and if he be pleased to dwell…

WHAT IS FLINT?
WHAT IS FLINT? Flint is a steel-grey quartz in the family of rocks,which are usually very hard.Such rocks are normally found in the Middle East regions, mainly in Palestine. During the ancient times,this rock was used for making tools such as knives,axes,jembes,hammers and the the tips of some weapons like spears and arrows,due to its…