Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe milele….Ni siku nyingine kwa Neema zake… Karibu tujifunze Maneno yake… ….Leo nataka tuitafakari kauli moja ya Mtume Petro,kupitia kauli hiyo tutapata vingi vya kujifunza na sisi..Kama tunavyofamfahamu,ni Mtume aliyekuwa na ufunuo mwingi kumuhusu Yesu,kipindi cha Bwana yupo duniani hata wakati hayupo,alifanikiwa kuzijua siri nyingi sana za Ufalme wa…

UKO WAPI? Mwanzo 3:9
Shalom,Bwana Yesu Kristo asifiwe..Karibu tena tujifunze Maneno ya Mungu… Mwanzo 3:9 [9]BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi? Kabla ya Uovu kuingia pale eden ukaribu wa Mungu na Adamu ulikuwa ni mkubwa sana.. kama tunavyofahamu habari yenyewe,kulikuwa hakuna haja ya kuitana itana kila wakati,Maandiko yanatuonyesha Mungu alipokuwa akitaka kuzungumza na Adamu alikuwa akashuka na kuongea…

UTAOKOKA LINI?
Utukufu na heshima na zirudi kwake Bwana wetu Yesu Kristo, yeye aliyetupa Neema ya siku nyingine na uhai tele…Sifa ni zake milele… Nakukaribisha tuendelee kujifunza maneno ya Uzima wetu… UTAOKOKA LINI? Hili ni swali ambalo mwanadamu yoyote aliye na pumzi ya Mungu anatakiwa kujiuliza kila wakati, swali hili haliangalii dini yako, na wala halijalishi kama…

BWANA AKALIZIDISHA KANISA KWA WALE WALIOKUWA WAKIOKOLEWA
Bwana Yesu Kristo asifiwe milele na milele…karibu tujifunze Neno la Mungu…. Ni shauku ya Mungu kila siku tuwe ni watu wa kuongeza maarifa katika kumjua yeye…. Kipindi cha injili ya Bwana Yesu akiwa duniani,kilikuwa ni kipindi chenye baraka na Neema sana,ilifika wakati sio lazima uwe mwanafunzi wake na wala alikuwa haji kukulazimisha uwe mfuasi wake…

TAFAKARI KWAKO MKRISTO.
Lipo jambo muhimu sana ambalo unapaswa kulitafakari wewe kama Mkristo (yaani wewe uliye mkiri Yesu Kristo kwa kinywa chako na kumwamini moyoni mwako) sawa sawa na andiko la Warumi 10:10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Na kubatizwa katika ubatizo sahihi ambao ni wa kuzamishwa…

ZIWA LA MOTO
Shalom…… Karibu tujifunze Biblia takatifu ambalo ndilo Neno la Mungu wetu….. Wengi wetu tumeshawahi kulisikia hili Neno ziwa la Moto na pengine limeshakuwa mazoea kwetu kulitaja,lakini nimependa leo tuliangalie kwa namna nyingine tena naamini kuna mambo utajifunza…. Tukilileta kwa lugha rahisi hili Neno ziwa la Moto tutaitafsiri kama Adhabu,.na tukumbuke Adhabu hi haikutolewa kwa wanadamu…

TOKA KWA VIONGOZI VIPOFU.
Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe, nakukaribisha tena tujifunze Neno la Mungu linalotupa uzima wa milele na uhakika wa maisha yetu baada ya kufa kama Neno Mwenye alivyosema kwenye Yohana 11:25 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. YEYE ANIAMINIYE MIMI, AJAPOKUFA, ATAKUWA ANAISHI; Biblia inasema katika Luka 6:39 Akawaambia mithali, Je!…

KUOTA UMEKUFA
Shalom,Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele…. Karibu tujifunze Maneno ya Uzima kwa njia ya ndoto….Kama una ndoto inakutatiza basi usisite kuiandika kwenye box la maoni chini…. Ndoto ya kuota umekufa uwa ina maana nyingi kulingana na ujumbe ambao ulipaswa kufika mahali husika… Ikiwa umeota ndoto hii na unaona ndani yako una msukumo wa…

WHAT DOES ECCLESIASTES 5:1 MEAN? KEEP THY FOOT WHEN THOU GOEST TO THE HOUSE OF GOD.
WHAT DOES ECCLESIASTES 5:1 MEAN? – KEEP THY FOOT WHEN THOU GOEST TO THE HOUSE OF GOD. Ecclesiastes 5:1; “Keep thy foot when thou goest to the house of God, and be more ready to hear,than to give the sacrifice of fools;for they consider not that they do evil.” Glory be unto the great name…

ANOTHER WAY TO GET MERCY AND FAVOUR FROM GOD.
ANOTHER WAY TO GET MERCY AND FAVOUR FROM GOD. Blessed be the name of our Lord and Savior Jesus Christ. There are are many ways through which we as Christians can draw God’s favour and mercy upon our lives.This includes being prayerful, generous, forgiving others,and so on. But there’s another secret toward finding mercy and…