Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe, nakukaribisha tena katika wasaa mzuri wa kujifunza maneno ya uzima. Katika hiki kipindi tulichofikia sisi wanadamu hapa duniani hadi siku ya leo, ni mengi sana tuliyoyaona na kuyashuhudia mengine yalikuwa mema na mengine yalikuwa mabaya ambayo haya mabaya yalipotokea yaliacha maumivu makali sana. Ambayo yalipelekea hata watu kusema…
Month: October 2022

KUVAA SURUALI NI DHAMBI KWA MWANAMKE WA KIKRISTO?
Fundisho maalumu kwa mwanamke Kuvaa suruali kwa mwanamke wa Kikristo ni dhambi mbele za Mungu na si sawa hata kidogo, kwa sababu biblia imesema ni mchukizo kwa Bwana Mungu wako, haijalishi wewe ni nani, una cheo gani au wadhifa gani ni machukizo mbele za Mungu. Kumbukumbu La Torati 22:5 Mwanamke asivae mavazi YAMPASAYO mwanamume, wala…

SITIRI MWILI WAKO, USIWE CHANZO CHA MWENGINE KUTAMANI
FUNDISHO MAALUMU KWA MWANAMKE Jina la Bwana na Mungu Wetu Yesu Kristo litukuzwe daima, ikiwa wewe ni dada, binti, au mama, basi nakukaribisha tujifunze neno la Mungu kwa pamoja. Kama mwanamke, unapaswa uwe nadhifu kwa kuusitiri mwili wako pale uwapo sehemu za mkusanyiko wa watu wengi hasa wa jinsia tofauti (hasa kwa wale walio dhaifu…

KUOTA UNAKIMBIZWA NA SIMBA
Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lisifiwe milele na milele…. Karibu tujifunze kwa njia ya ndoto ili tupate maarifa ya kumsikia Mungu kwa njia hiyo Asilimia kubwa ya ndoto tuotazo huwa zinatokana na harakati na mizunguko mingi ya maisha yetu hususani shughuli zetu za kila siku, lakini ikitokea ndoto yako haijaingiliana na shughuli yoyote au…

JINA LAKO LIMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA UZIMA?
Shalom, Jina la Mungu mwokozi Wetu libarikiwe, ni wakati mwingine tena ambao Mungu ametupa kibari cha kujifunza maneno yake ya uzima, karibu! JINA LAKO LIMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA UZIMA? Swali hili huwenda likawa geni kwako, yaani ndiyo mara yako ya kwanza kulisikia, au pengine haufahamu kuhusu kitabu hiki cha uzima kinachozungumzia hapo. Lakini yote katika…

MAFUNZO YANGU SI YANGU MIMI
Bwana Yesu Asifiwe, ni wakati mwingine tena ambao Mungu ametupa kibari cha kuweza kujifunza maneno yake yanayotupa kuiifikia ahadi yake ya mbingu mpya na nchi mpya, lakini kabla ya kuendelea mbele tutajifunza maana ya neno hili “unyenyekevu“ambalo litakuwa kiini cha ujumbe wetu Unyenyekevu ni hali ya mtu kujishusha pale anapofanya jambo fulani ambalo lilipelekea kumpa…

Je! Ni wanawake gani wanazungumziwa katika (Zaburi 68:11)?
SWALI: Je! Ni wanawake gani hao ambao wanazungumziwa katika katika cha Zaburi? (Zaburi 68:11) [Zaburi 68:11] [11] Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa; JIBU: Nakusalimu kupitia Jina la Yesu lipitalo majina yote, nakukaribisha tupate kujifunza maneno yatupayo uzima wa milele. Wanawake wanaozungumziwa hapo ni wale wanawake ambao waliompokea Yesu Kristo katika…

Mtupe chini Yezebeli kama unataka kuwa upande wa Mungu
FUNDISHO MAALUMU KWA MWANAMKE Shalom, Jina la Mwokozi Wetu Yesu Kristo litukuzwe milele na milele, sifa na ukuu ni vyake. Amina, karibu tujifunze neno la Mungu. Kama wewe ni mwanamke (mama au binti), unayetaka kumcha Mungu na kuwa upande wake daima kama ilivyokuwa kwa wanawake walioutii uchaji wa Mungu kama Sara, Hana, Mariamu, Elizabeth, n.k,…

Nini maana ya huu mstari “HUWEKA NYUMBANI MWANAMKE ALIYE TASA, AWE MAMA YA WATOTO MWENYE FURAHA”
Embu tulisome hilo andiko…. Zaburi 113:4-9 [4]BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote, Na utukufu wake ni juu ya mbingu. [5]Ni nani aliye mfano wa BWANA, Mungu wetu aketiye juu; [6]Anyenyekeaye kutazama, Mbinguni na duniani? [7]Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Na kumpandisha maskini kutoka jaani. [8]Amketishe pamoja na wakuu, Pamoja na wakuu wa watu wake. [9]Huweka…

KUOTA UPO JANGWANI PEKE YAKO
Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe milele……. Karibu upate kujifunza kwa njia ya ndoto. Asilimia kubwa ya ndoto tunazoota huwa zinatokana na shughuli nyingi tunazokutana nazo…mara nyingi ule mfumo unakuwa unajijirudia kwa njia ya ndoto… Lakini kama umeona ndoto uliyoiota imekuja kwa uzito kidogo na haijaja kulingana na mizunguko yako mingi.. basi yakupasa uitafari…