Kama kazi yako ni ya shambani au katika bustani, kuota unachuma matunda ni jambo la kawaida..kwasababu biblia inasema.. Mhubiri 5:3 “Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi…”. Lakini kama kazi yako si ya mashambani, na umejikuta umeota ndoto kama hiyo, upo unachuma matunda katika mti.. Ni ishara ya kwamba mafundisho unapokea kutoka kwa…
Blog
KUOTA UMECHELEWA KWENYE HARUSI.
Unapoota umechelewa kwenye harusi, hiyo ni ndoto ya tahadhari kutoka kwa Bwana. Ni nadra sana zote za namna hii kuwa na tafsiri ya ndoa halisi za kimwili, nyingi zinafunua ndoa za kiroho. Kibiblia sisi watu wa Mungu tunafananishwa na wanawali na Kristo ni Bwana arusi, na karamu yetu (yaani harusi) itafanyika mbinguni. Hivyo kama umeota…
KUOTA UNAVUNA NAFAKA SHAMBANI
Kama shughuli yako ni kilimo, basi kuota upo shambani unavuna ni jambo la kawaida, kwasababu maandiko yanasema ndoto huja kutokana na shughuli nyingi. Mhubiri 5:3 “Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi…”. Lakini kama shughuli zako si kilimo na wala hujawahi kujishughulisha na kilimo, lakini unajikuta unaota upo shambani, unalima au unavuna, shamba…
MAANA ZA MAJINA.
Maana ya Jina YESU ni Yehova-Mwokozi, hili ndio jina lenye nguvu na KUU kuliko yote. Katika hilo tunaokolewa (Matendo 4:12), Katika hilo tunabatizwa (Matendo 2:38), na katika hilo tunaponywa. Si dhambi kulitaja jina hili bila sabavu yoyote, vile vile hapana mwanadamu yeyote anayepaswa kujipa au kupewa jina hili. Maana ya jina Dina/Dinah “Mungu amehukumu” Maana ya…
MAANA YA KUOTA UNAFANYA MAPENZI.
Unapoota unafanya tendo la ndoa au kuota unafanya mapenzi ni kiashiria cha nini? Awali ya yote tunapaswa kufahamu kuwa Ndoto yoyote ya zinaa, haitokani na Mungu..Ni aidha inatokana na mtu mwenyewe au shetani. Leo tutaangazia makundi mawili ya watu wanaoota ndoto za namna hii: Kama umeota ndoto hii na bado hujaokoka: Neno la Mungu linasema…..
MAANA YA KUOTA UPO MAKABURINI.
Makaburi ni mahali ambapo wanalazwa watu waliokufa… Hivyo kuota upo makaburini sio ishara nzuri. Katika biblia kuna wakati Bwana alikutana na mtu mmoja anayeishi makaburini, ambapo makazi yake yalikuwa ni kule siku zote, haondoki..maandiko yanatuambia mtu yule alikuwa ameingiliwa na pepo wengi sana..na lengo ni kuangamiza na kuua. Utauliza nimejuaje hilo, ukisoma habari ile utaona…
NINI MAANA YA KUOTA UNAPIGANA NA MTU.
Ndoto hiyo ya kuota unapigana inaweza kumaanisha aidha upo kwenye mashindano au vita.. 1. UPO KWENYE MASHINDANO. Kwa namna ya kawaida, ikiwa kipo kitu Fulani ambacho kinathamani fulani, na wote mnakitamani au kukigombania ili mkipate, au mmoja anakizuia ili kisipatikane, ni rahisi kutokea kutokuelewa na mwisho wa siku mapigano, kwamfano wengine wanaishia kupigana kisa, fedha,…
UNAPOOTA UNAJIFUNGUA MAANA YAKE NINI?
Kama ulikuwa unawaza au kufikiri sana habari ya kuwa na mtoto, basi ni kawaida kuota ndoto za kujifungua kwasababu ndio kitu kinachoendelea kwa wingi katika mawazo yako na akili zako . Biblia inasema. Mhubiri 5:3 “Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi;……”. Hivyo ndoto ya namna hii inapokujia ipuuzie tu!, kwasababu ni wanawake…
MAANA YA KUOTA UNACHIMBUA VIAZI, MIHOGO AU MADINI
Kama unajihusisha sana na shughuli za mashambani au bustanini ni kawaida kuota ndoto za namna hiyo, kwasababu si kila ndoto tunazoota zinatoka kwa Mungu au shetani, nyingi zinatengenezwa na miili yetu, kutokana na shughuli tunazozifanya mara kwa mara soma Mhubiri 5:3, Hivyo kama upo katika mazingira hayo, hiyo ni ndoto ya kawaida tu!, ipuuzie kwasababu…
KUOTA UPO NCHI ZA NJE.
Kikawaida mtu unapo safiri, huwa unakutana na mandhari nyingi na tofauti tofauti, sehemu nyingine utakutana na mandhari za joto, za mvua, sehemu nyingine utakutana na mazingira ya hatari Wana wa Israeli walipotolewa katika nchi yao, wakiwa njiani kuelekea Babeli walilia sana, zaidi sana wakaldayo waliwaambia wawaimbie nyimbo za nchini kwao, lakini walishindwa..na hawakuweza, kwa jinsi…
