Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe milele….Ni siku nyingine kwa Neema zake… Karibu tujifunze Maneno yake… ….Leo nataka tuitafakari kauli moja ya Mtume Petro,kupitia kauli hiyo tutapata vingi vya kujifunza na sisi..Kama tunavyofamfahamu,ni Mtume aliyekuwa na ufunuo mwingi kumuhusu Yesu,kipindi cha Bwana yupo duniani hata wakati hayupo,alifanikiwa kuzijua siri nyingi sana za Ufalme wa…
Author: Magdalena
UKO WAPI? Mwanzo 3:9
Shalom,Bwana Yesu Kristo asifiwe..Karibu tena tujifunze Maneno ya Mungu… Mwanzo 3:9 [9]BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi? Kabla ya Uovu kuingia pale eden ukaribu wa Mungu na Adamu ulikuwa ni mkubwa sana.. kama tunavyofahamu habari yenyewe,kulikuwa hakuna haja ya kuitana itana kila wakati,Maandiko yanatuonyesha Mungu alipokuwa akitaka kuzungumza na Adamu alikuwa akashuka na kuongea…
UTAOKOKA LINI?
Utukufu na heshima na zirudi kwake Bwana wetu Yesu Kristo, yeye aliyetupa Neema ya siku nyingine na uhai tele…Sifa ni zake milele… Nakukaribisha tuendelee kujifunza maneno ya Uzima wetu… UTAOKOKA LINI? Hili ni swali ambalo mwanadamu yoyote aliye na pumzi ya Mungu anatakiwa kujiuliza kila wakati, swali hili haliangalii dini yako, na wala halijalishi kama…
BWANA AKALIZIDISHA KANISA KWA WALE WALIOKUWA WAKIOKOLEWA
Bwana Yesu Kristo asifiwe milele na milele…karibu tujifunze Neno la Mungu…. Ni shauku ya Mungu kila siku tuwe ni watu wa kuongeza maarifa katika kumjua yeye…. Kipindi cha injili ya Bwana Yesu akiwa duniani,kilikuwa ni kipindi chenye baraka na Neema sana,ilifika wakati sio lazima uwe mwanafunzi wake na wala alikuwa haji kukulazimisha uwe mfuasi wake…
ZIWA LA MOTO
Shalom…… Karibu tujifunze Biblia takatifu ambalo ndilo Neno la Mungu wetu….. Wengi wetu tumeshawahi kulisikia hili Neno ziwa la Moto na pengine limeshakuwa mazoea kwetu kulitaja,lakini nimependa leo tuliangalie kwa namna nyingine tena naamini kuna mambo utajifunza…. Tukilileta kwa lugha rahisi hili Neno ziwa la Moto tutaitafsiri kama Adhabu,.na tukumbuke Adhabu hi haikutolewa kwa wanadamu…
KUOTA UMEKUFA
Shalom,Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele…. Karibu tujifunze Maneno ya Uzima kwa njia ya ndoto….Kama una ndoto inakutatiza basi usisite kuiandika kwenye box la maoni chini…. Ndoto ya kuota umekufa uwa ina maana nyingi kulingana na ujumbe ambao ulipaswa kufika mahali husika… Ikiwa umeota ndoto hii na unaona ndani yako una msukumo wa…
KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA
Utukufu na heshima na mamlaka na zivume kwake Bwana wetu Yesu Kristo milele na milele…. Karibu tujifunze kwa njia ya ndoto…Kama una ndoto yako unayohisi inahitaji ufumbuzi wa Kimaandiko basi usisite kuiandika kwenye comment…. Sisi wanadamu kifaa ambacho kimekuwa na umuhimu sana katika ulimwengu wa sasa ni Simu,na kimekuwa cha muhimu kwsababu kina uwezo wa…
Bali Kwa sababu BWANA ANAWAPENDA
Karibu tujifunze Maneno ya Bwana wetu na Mwokozi wetu Yesu Kristo….Ni kwa neema zake hata tumeiona siku mpya ya tarehe ya leo… Zipo ngazi nyingi ambazo ukizipanda unaweza kumkaribia Mungu au hata kumuona Kabisa,wakati mwingine unaweza ukawa mtu wa haki,unaweza ukawa una huruma kwa wengine, ni mtu wa kusamehe sana,ni mtu wa kuwajali wengine,uko tayari…
SIFA NI ZAKO BWANA
Zaburi 65:4-13 [4]Heri mtu yule umchaguaye, Na kumkaribisha akae nyuani mwako. Na tushibe wema wa nyumba yako, Patakatifu pa hekalu lako. [5]Kwa mambo ya kutisha utatujibu, Katika haki, Ee Mungu wa wokovu wetu. Wewe uliye tumaini la miisho yote ya dunia, Na la bahari iliyo mbali sana, [6]Milima waiweka imara kwa nguvu zako, Huku ukijifunga…
Je tunapaswa kushika sabato kwa namna gani?
Nakusalimu Kwa Jina Kuu la Mwokozi wetu Yesu Kristo,Jina litupasalo sisi kuokolewa kwalo…. Karibu katika muendelelezo wa kujifunza kwa njia ya Maswali na Majibu..” ●Swali Naomba nifahamishwe hili,je tunapaswa kuishika sabato kwa namna gani? ●Jibu Kabla ya kuanza kujua kuna umuhimu gani wa kuishika sabato au tunapaswa kuishika kwa namna gani ni heri ungejua kwanza…
