1.Je amri ya pili ni inasemaje? ______________ 2. Je ni watu gani ambao Paulo aliwaandikia kuwa wamelogwa? ______________ 3.je ni mtoto gani wa Daudi aliye uliwa na Sulemani? _________________ 4.Elisha alikufa kifo gani? __________________ 5.je ni nabii gani aliye simamisha mvua kwa miaka mitatu na nusu? ___________________ 6.wana wa kuhani Eli wanaitwa wakina nani? __________________…
Category: Uncategorized
MTIHANI WA BIBLIA (part 1️⃣5️⃣) MASWALI YA BIBLIA
1.Je Samsoni kwanini aliyechoma mashamba ya wafilisti? ___________ 2. Ni saa ngapi Bwana Yesu alisurubiwa na saa ngapi alikufa? _____________ 3.je katika biblia ni kosa gani alilolifanya DINA binti wa Yakobo. ______________ 4.je Bwana Yesu alipindua meza hekaluni mara ngapi? _______________ 5. Je Bwana Yesu alikuwa akipendelea kwenda kuomba wapi? ______________ 6.je wakati Zerubabeli anasimamia…
MTIHANI WA BIBLIA (part 14) (MASWALI YA BIBLIA)
1.Kwanini Mfalme Daudi hakumjengea Mungu hekalu? __________________ 2.Sulemani alikuwa na wake wangapi? _________________ 3. Jemedari wa jeshi la Sauli aliitwa nani? ________________ 4.Kuhani wa kwanza kwenye biblia alikuwa ni nani? _________________ 5.Mtoto wa Yezebeli aliitwa nani __________________ 6.Je ni watu gani waliokuwa wapinzani wa Nehemia katika kuujenga Yerusalemu? ________________ 7.katika biblia ni nani ambaye punda…
MTIHANI WA BIBLIA (PART 13) (MASWALI YA BIBLIA)
1.je ni mtoto gani wa sauli ambaye Daudi alimwoa? ________________ 2.Naamani alienda kujiosha katika mto gani kutakaswa ukoma wake? _______________ 3. Katika kabila za Israeli ni kabila gani ulikuwa uzao wa kifalme? ____________________ 4.Je Daudi alipakwa mafuta mara ngapi na wapi? ___________________ 5.Je ni mji gani ambao Barnaba na Paulo waliwekewa mikono na kanisa kwa…
MTIHANI WA BIBLIA (PART1️⃣2️⃣) (MASWALI YA BIBLIA)
1.je kwanini Miriamu Bwana Mungu alimpiga kwaukoma? _______________ 2.ni nini maana ya pentekoste? _______________ 3.je nikitabu gani kinacho onesha amri kumi za Mingu? Na sura ya ngapi. __________________ 4. Je ni mfalme gani aliye ungana na SULEMANI kumsaidia kulijenga hekalu. __________________ 5.je mke wa Musa anaitwa nani? __________________ 6.je ni nani aliye mlea Musa kule…
27/02/2023 MTIHANI WA BIBLIA(PART 1️⃣1️⃣) (MASWALI YA BIBLIA)
1.je katika biblia ni nani aliye kuwa wakwanza kuupokea ufunuo wa ubatizo (taja na kifungu cha biblia)? __________________ 2. Bwana Yesu alimaanisha nini kusema (livunjeni hekalu hili,nami katika siku tatu nitalisimamisha)? __________________ 3.taja kifungu cha biblia kinacho thibitisha kuwa paulo alibatizwa? ____________________ 4.je ni nani aliye okoka katika yeriko wakati wana wa Israeli wanavamia huko….
26/02/2023 MTIHANI WA BIBLIA (PART 10) (MASWALI YA BIBLIA)
1.je! sanduku la agano lilitengenezewa kwa mbao za mti gani? ___________________ 2.je katika Israeli ni kabila gani ambalo Mungu aliliondoa katika kitabu cha ufunuo kwa sababu ya uovu wao na kuwapa nafasi hiyo wana wa Yusufu? ______________________ 3.Je katika biblia ni nani aliye weka nadhiri ya kuwa akishinda vita ananapo ludi nyumbani wakwanza kumlaki itakuwa…
25/02/2023 MTIHANI WA BIBLIA (Part 0️⃣9️⃣) (MASWALI YA BIBLIA)
1.je. mtume Paulo aling’atwa na nyoka katika kisiwa gani? _____________________ 2. Je. Katika biblia ni mwanamke gani aliye tajwa kuwa amebarikiwa kuliko wanawake wote? ______________________ 3. je! Ni mfalme gani aliye tabiliwa na nabii ISAYA kutoa amri ya wana wa Israeli kuludi Israeli kulijenga hekalu mara ya pili baada ya lile la SULEMANI kubomolewa? ____________________…
24/02/2023 MTIHANI YA BIBLIA (PART 0️⃣8️⃣) (MASWALI YA BIBLIA)
1.Je ni mitume gani wawili walio kuwa wakwanza kumfuata YESU? _________________ 2.Je! Simoni Petro Kabla ya kumfuata Bwana Yesu alikuwa akifanya kazi gani? _________________ 3.Je ni siku gani ambayo Bwana Yesu alifufuka? ________________ 4.Je! Ni siku gani ambayo Mungu alimuumba mwanadamu? ____________________ 5.Je! Ni mtume gani aliyeingia kwa wale mitume kumi na mbili kuziba nafasi…
23/02/2023 MTIHANI WA BIBLIA (PART 0️⃣7️⃣) (MASWALI YA BIBLIA)
1.Je! nikitabu gani katika biblia ambacho hakija taja Neno Mungu kabisa? __________________________ 2.Je. katika biblia ni nani aliyekuwa muhubiri pamoja na Paulo lakini baadae akaiacha injili kwa kuupenda ulimwengu? (taja na vifungu vya biblia) ____________________________ 3. katika kitabu cha matendo ya mitume ni mwanafunzi gani wa Yesu aliyekuwa wakwanza kupigwa mawe? _____________________________ 4.Katika wale (Thenashara)…