Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

MASWALI YA KITABU CHA II SAMWELI, I

Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA II SAMWELI, I

1. 
Baada ya kifo cha Sauli, Ishbosethi mwanae alikua mfalme wa wapi?

2. 
Nqni alikua mzaliwa wa kwanza wa Daudi?

3. 
Ni laana gani aliitoa Daudi kwa familia ya Yoabu?

4. 
Daudi alikua na miaka mingapi alipokua mfalme?

5. 
Ni Mfalme yupi aliyepeleka wajenzi ili kujenga nyumba ya Daudi?

6. 
Nani alipigwa kwa kifo baada ya kushika Sanduku la Agano?

7. 
Ni mke yupi wa Daudi ambae hakuwa na mtoto?

8. 
Ni wapi Daudi alipowapiga Waedomi elfu kumi na nane?

9. 
Mefiboshethi alikua na ulemavu gani?

10. 
Mfalme Hanuni wa Amori aliwafanyia nini watumishi wa Daudi walioenda kumpa pole kwa kifo cha baba yake?

11. 
Ni nini Daudi aliona cha kwanza katika dari ya jumba la Mfalme?

12. 
Ni kwa namna gani Daudi alimuua mume wa Bathsheba?

13. 
Ni nabii yupi aliyemzuia Daudi katika swala la kumwiba Bathsheba kwa Uria Mhiti?

14. 
Bathsheba alimzalia Daudi mtoto aitwae nani?

15. 
Ni yupi kati ya mtoto wa Daudi aliyeamuru Amnoni auliwe?

clock.png

Time is Up!

clock.png

Time's up

1 thought on “MASWALI YA KITABU CHA II SAMWELI, I”

  1. Magdalena Magdalena says:
    May 22, 2022 at 1:24 pm

    Hongereni sana kwa quiz hizi

    Reply

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  2. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress