MASWALI, INJILI YA MATHAYO Welcome to your Maswali, Injili ya Mathayo 1. Mwanamke aliyetokwa na damu alikuwa na ugonjwa huo kwa muda gani? miaka 40 miaka 8 Miaka 12 Miaka 20 2. Mamajusi walitokea wapi? Moabu Ashuru Misri Mashariki ya mbali 3. Ni nani aliyemkata kichwa Yohana Mbatizaji? Herode Pilato Kayafa Kaisari 4. Bwana Yesu alizaliwa katika mji upi? Bethlehemu Nazareti Galilaya Yerusalemu 5. Kitabu cha Injili ya Mathayo kina sura ngapi? 28 24 40 18 6. Ni nini kilitoka ubavuni mwa Yesu pale Kalvari? Roho na Damu Damu na Maji Damu na Roho Damu 7. Roho ya Eliya ilikuwa juu ya nani? Paulo Yohana Mbatizaji Bwana Yesu Yohana wa Patmo 8. Nani mwandishi wa kitabu cha Mathayo? Paulo Bwana Yesu Yohana Mbatizaji Mathayo 9. Heri wenye upole kwa maana? watairithi nchi watainuliwa watapiganiwa watapendwa 10. Mwanafunzi gani aliyemkata mtumwa wa kuhani mkuu sikio? Yuda Thadayo Petro Tomaso 11. Babaye Bwana Yesu aliitwa nani? Yusufu wa Arimathaya Baba mtakatifu Yosia Yusufu 12. Madhehebu ya Wayahudi mawili yalikuwa ni yapi? Maherode na Maherodia Waandishi na wanasheria Mafarisayo na Masadukayo Makuhani na Waandishi 13. Ya Kaisari anayopaswa apewe ni yapi? Starehe Anasa Dhambi Kodi 14. Bwana Yesu alitokea katika kabila lipi la Israeli? Bethlehemu Manase Yuda Lawi 15. Mamaye Bwana Yesu aliitwa nani? Mariamu Mariamu Magdalene Miriamu Hana 16. Bwana Yesu alijaribiwa kwa siku ngapi jangwani? 20 40 70 3 17. Mathayo alikuwa anafanya shughuli gani kabla ya kukutana na Bwana? USeremala Mtoza ushuru Ujenzi Tabibu 18. Heri walio maskini wa roho; kwa maana?. watafarijiwa watakuwa matajiri Ufalme wa mbinguni ni wao wataokolewa 19. Roho Mtakatifu alishuka juu ya Bwana Yesu kwa mfano wa nini? Mwanga kivuli Nyota Huwa 20. Imani ndogo kama nini inaweza kuhamisha milima? Chembe ya Ngano Ndogo kama punje ya mchanga Chembe ya haradali Mbegu ya mchicha 21. Jina lingine la Simoni Petro ni nani? Simoni Bar-Yona Petro-Yusto Simon Mkananayo Petro-Mgalilaya 22. Yohana Mbatizaji alitokea wapi? Samaria Nyika ya Uyahudi Yordani Bethlehemu 23. Pazia la Hekalu lilipasuka vipande vingapi, baada ya Bwana kufa? Vipande 2 Vipande 7 Vipande 3 Vipande 12 24. Walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina la Bwana.. Yeye atawatuma Yeye atawatokea Yeye yupo katikati yao Yeye atawaokoa 25. Mwanafunzi gani aliyemkana Bwana Yesu? Andrea Yuda Filipo Petro 26. Chachu ya Mafarisayo na Masadukayo ni nini? Maisha yao Mafundisho yao Dini yao Mienendo yao 27. Taa ya mwili ni nini? Hekima Moyo Akili Jicho 28. Aliyemfuata Bwana Yesu juu ya maji ni nani? Tomaso Petro Yohana Andrea 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Maswali ni rahisi lakini kama hujafuatilia hicho kitabu vizuri utakuwa na tashwiswi kama Mimi, inanibidi nirudie hicho kitabu Reply
Nimejifunza kitu na ukizingatia hivi karibuni Nina mtihani wa bible mlango wa mathayo kwa kweli nimefunguliwa ufahamu wangu Reply
Mungu ni mwema kabisa Hallelujah kitabu Cha Mathayo Mtakatifu kinalenga hasa kuonyesha Namna Yesu alifanya kazi na Namna Imani yetu inaweza kutuweka huru kama tukimtafuta Mungu Reply
Maswali ni rahisi lakini kama hujafuatilia hicho kitabu vizuri utakuwa na tashwiswi kama Mimi, inanibidi nirudie hicho kitabu
Ni kweli, maswali si magumu
I got everything
Hongera sana…yanakuja mengine
I need them
Kuna haja ya kusoma sana biblia
Amen
Nimejifunza kitu na ukizingatia hivi karibuni Nina mtihani wa bible mlango wa mathayo kwa kweli nimefunguliwa ufahamu wangu
Amen atukuzwe Bwana..
Mungu ni mwema kabisa
Hallelujah kitabu Cha Mathayo Mtakatifu kinalenga hasa kuonyesha Namna Yesu alifanya kazi na Namna Imani yetu inaweza kutuweka huru kama tukimtafuta Mungu
Naomb mtihan niw nao
karibu