Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

MASWALI, INJILI YA MATHAYO

Welcome to your Maswali, Injili ya Mathayo

1. 
Mwanamke aliyetokwa na damu alikuwa na ugonjwa huo kwa muda gani?

2. 
Mamajusi walitokea wapi?

3. 
Ni nani aliyemkata kichwa Yohana Mbatizaji?

4. 
Bwana Yesu alizaliwa katika mji upi?

5. 
Kitabu cha Injili ya Mathayo kina sura ngapi?

6. 
Ni nini kilitoka ubavuni mwa Yesu pale Kalvari?

7. 
Roho ya Eliya ilikuwa juu ya nani?

8. 
Nani mwandishi wa kitabu cha Mathayo?

9. 
Heri wenye upole kwa maana?

10. 
Mwanafunzi gani aliyemkata mtumwa wa kuhani mkuu sikio?

11. 
Babaye Bwana Yesu aliitwa nani?

12. 
Madhehebu ya Wayahudi mawili yalikuwa ni yapi?

13. 
Ya Kaisari anayopaswa apewe ni yapi?

14. 
Bwana Yesu alitokea katika kabila lipi la Israeli?

15. 
Mamaye Bwana Yesu aliitwa nani?

16. 
Bwana Yesu alijaribiwa kwa siku ngapi jangwani?

17. 
Mathayo alikuwa anafanya shughuli gani kabla ya kukutana na Bwana?

18. 
Heri walio maskini wa roho; kwa maana?.

19. 
Roho Mtakatifu alishuka juu ya Bwana Yesu kwa mfano wa nini?

20. 
Imani ndogo kama nini inaweza kuhamisha milima?

21. 
Jina lingine la Simoni Petro ni nani?

22. 
Yohana Mbatizaji alitokea wapi?

23. 
Pazia la Hekalu lilipasuka vipande vingapi, baada ya Bwana kufa?

24. 
Walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina la Bwana..

25. 
Mwanafunzi gani aliyemkana Bwana Yesu?

26. 
Chachu ya Mafarisayo na Masadukayo ni nini?

27. 
Taa ya mwili ni nini?

28. 
Aliyemfuata Bwana Yesu juu ya maji ni nani?

1 out of 1

clock.png

Time is Up!

clock.png

Time's up

12 thoughts on “MASWALI, INJILI YA MATHAYO”

  1. Stellah Khanjila says:
    March 15, 2022 at 6:00 pm

    Maswali ni rahisi lakini kama hujafuatilia hicho kitabu vizuri utakuwa na tashwiswi kama Mimi, inanibidi nirudie hicho kitabu

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      March 15, 2022 at 9:29 pm

      Ni kweli, maswali si magumu

      Reply
  2. Stellah Khanjila says:
    March 15, 2022 at 6:21 pm

    I got everything

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      March 15, 2022 at 9:28 pm

      Hongera sana…yanakuja mengine

      Reply
      1. Stellah Khanjila says:
        March 19, 2022 at 4:24 pm

        I need them

        Reply
  3. Steven says:
    December 19, 2023 at 10:16 am

    Kuna haja ya kusoma sana biblia

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      February 6, 2024 at 9:22 pm

      Amen

      Reply
  4. Jescar Michael says:
    April 12, 2025 at 7:33 pm

    Nimejifunza kitu na ukizingatia hivi karibuni Nina mtihani wa bible mlango wa mathayo kwa kweli nimefunguliwa ufahamu wangu

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      April 23, 2025 at 10:28 pm

      Amen atukuzwe Bwana..

      Reply
  5. Rayson Nabahani says:
    April 22, 2025 at 6:41 pm

    Mungu ni mwema kabisa
    Hallelujah kitabu Cha Mathayo Mtakatifu kinalenga hasa kuonyesha Namna Yesu alifanya kazi na Namna Imani yetu inaweza kutuweka huru kama tukimtafuta Mungu

    Reply
  6. Noel Swai says:
    May 6, 2025 at 2:30 am

    Naomb mtihan niw nao

    Reply
    1. watakatifuwasikuzamwisho watakatifuwasikuzamwisho says:
      May 7, 2025 at 12:42 am

      karibu

      Reply

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Comments

  1. Lillie on MASWALI YA KITABU CHA 1 WAFALME, I
  2. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress