Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

MASWALI YA KITABU CHA AYUBU I

Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA AYUBU I

1. 
Ayubu alitokea katika nchi gani? (1:1)

2. 
Nani alisema msemi huu na kwa nani ulisemwa? " Ngozi kwa ngozi"(2:4)

3. 
"Yote aliyonayo mtu atayatoa kwa ajili ya ___wake"(2:4)

4. 
Ni kwa siku ngapi marafiki wa Ayubu walikaa naye wakati wa taabu zake? (2:13)

5. 
"Tazama yu heri mtu yule Mungu ___kwahiyo usidharau kurudiwa na huyo Mwenyezi. (5:17)

6. 
"Yeye ni mwenye ___na mwenye uwezo katika___(9:4)

7. 
Dunia imetiwa mikononi mwa ___(9:24)

8. 
"Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ___ naye hujaa____(14:1)

9. 
Ni mara ngapi marafiki wa Ayubu walimshutumu?(19:3)

10. 
" ukimrudia Mwenyezi Mungu ___"(22:23)

11. 
Ayubu alisema " lakini yeye aijua njia niendeayo aisha kunijaribu nitatoka kama___(23:10)

12. 
Bwana alisema na Ayubu katika kitu gani? (38:1)

13. 
Ayubu alikua na binti wangapi? (42:14)

14. 
Ayubu alikufa na miaka mingapi? (42:16)

15. 
Nani alikwenda kumshitaki Ayubu kwa Bwana? ( 9-11)

clock.png

Time is Up!

clock.png

Time's up

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Comments

  1. Lillie on MASWALI YA KITABU CHA 1 WAFALME, I
  2. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress