Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

KUOTA UNANYESHEWA NA MVUA

Posted on February 22, 2022July 25, 2022

Kama upo msimu wa mvua, kuota unanyeshewa na mvua ni jambo la kawaida kwasababu biblia inasema..

Mhubiri 5:3 “Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi..”

Kwahiyo ni kawaida kuota lile jambo linalochukua nafasi kubwa katika fahamu zetu au maisha yetu.

Lakini kama haupo msimu wa mvua na umeota unanyeshewa na mvua. Ni ishara ya NEEMA YA MUNGU.

Zaburi 68:9 “Ee Mungu, ulinyesha mvua ya neema; Urithi wako ulipochoka uliutia nguvu”.

Vile vile maandiko yanasema..

Hosea 6:3 “Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua BWANA; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujilia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi”

Na tena..

Yoeli 2:23 “Furahini, basi, enyi wana wa Sayuni, mkamfurahie BWANA, Mungu wenu; kwa kuwa yeye huwapa ninyi mvua ya masika, kwa kipimo cha haki, naye huwanyeshea mvua, mvua ya masika, na mvua ya vuli, kama kwanza”.

Kwahiyo ni ishara nzuri, lakini ili baraka hizo na Neema hizo zije Idhihirike au zitokee, ni lazima ukae katika sheria zake na amri zake. Lakini kama hutadumu katika kufanya mapenzi ya Mungu ndoto zako hazitatimia haijalishi ni Mungu kakuonesha, hazitatimia!, Hiyo ni kulingana na biblia.

Maran atha!


KUOTA UNACHUMA MATUNDA

KUOTA UNAFANYA MAPENZI

KUOTA UMECHELEWA KWENYE HARUSI

PDF
Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
trackback
KUOTA UNALISHWA VITU AU UNAKULA VITU. - NDOTO ZANGU
3 years ago

[…] KUOTA UNANYESHEWA NA MVUA […]

0
Reply
trackback
KUOTA UNAKIMBIZWA - NDOTO ZANGU
3 years ago

[…] KUOTA UNANYESHEWA NA MVUA […]

0
Reply

Recent Comments

  1. Lillie on MASWALI YA KITABU CHA 1 WAFALME, I
  2. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz