MASWALI YA KITABU CHA MWANZO Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA MWANZO I Yusufu aliuzwa kwa watu gani? Wamisri Wagareri Beer-sheba Waishmaeli Mungu alipumzika siku ya ngapi? Add description here! Kwanza Tatu Saba Pili Baada ya Kaini kumuua Habili Mungu alimwekea nini Kaini kama ulinzi kwake? Nyota Wanyama Fimbo Alama Nani alomdanganya Eva kula tunda la mti wa uzima? Nyoka Adamu Mwenyewe Nani alipata neema machoni pa Mungu na kughairi mabaya kwao? Lameki Nuhu Ibrahimu Henoko Kisima ambacho alichimba Isaka ambacho hakikugombaniwa na wachungaji wa Gerari? Sitna Rehobothi Eseki Mungu aliuteketeza miji gani kwa kibiriti na moto?? Kaanani Misri Sodoma na Gomora Gerari Nani alimsaidia Farao kufasiri ndoto? Yusufu Mnyweshaji Mwokaji Waganga Adamu aliishi miaka mingapi? 100 150 69 930 Hapo mwanzo Mungu aliumba nini? Bahari Binadamu Mbingu na nchi Samaki Kaini alikua anafanya kazi gani? Mchunga kondoo Mvuvi Mwokaji Mkulima Nani alimwuzia mwenzake haki ya mzaliwa wa kwanza? Yakobo Esau Kaini Ibrahimu Binadamu wa kwanza kuumbwa alikua nani? Mwanamke Mwanaume Kijakazi wa Sarai alikua nani? Raheli Dina Hajiri Rebeka Ni agano gani Mungu aliloweka kati ya yake na nchi baada ya Nuhu na wote kutoka ndani ya safina? Upinde mawinguni Ya kulindwa La damu Ya sadaka ya kuteketezwa 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Amina sana m,Bwana akubariki mpendwa wetu
RACHEL JOHN LUTIGA
Mungu awabariki
Amen akubariki nawe pia..
Amen.
Ubarikiwe sana sana pia
Amen
Asante kwa maswali
Shalom maswal mazuri ya kutujenga kiimani Asante sana
Nzuri