Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

MASWALI YA KITABU CHA I MAMBO YA NYAKATI II

Welcome to your MASWALI YA KITABU CHA I MAMBO YA NYAKATI II

1. 
Sanduku la agano likipoletwa Yerusalemu likikaa kwa nani?

2. 
Kwanini Daudi alionyesha huruma kwa Hanuni?

3. 
Ni idadi ya watu wangapi walikufa baada ya dhambi ya Daudi kuhesabu Waisraeli?

4. 
Kwanini Daudi alitaka kulipa gharama yote ya sadaka ya kuteketezwa?

5. 
Kwanini watu wa Yuda walichukuliwa mateka huko Babuloni?

6. 
Ni taji la nani likilowekwa kichwani pa Daudi?

7. 
Daudi alifanya nini kabla ya kifo chake?

8. 
Nani alikua mshauri wa Daudi?

9. 
Lawi alikua na watoto wangapi?

10. 
Watu wa Israeli walifanya nini baada ya kuona Sauli amefariki?

11. 
Ni jina gani Daudi aliuita mji wa Yerusalemu?

12. 
Ni nini kilimfanya Daudi kuwa mwenye nguvu?

Add description here!

13. 
Watu wa kabila la Benyamini walkia na ujuzi gani?

14. 
Kabila la wana wa Merari walipewa miji mingapi?

15. 
Yonathani aliuawa na nani?

clock.png

Time is Up!

clock.png

Time's up

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Comments

  1. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  2. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress