MASWALI, INJILI YA MATHAYO Welcome to your Maswali, Injili ya Mathayo 1. Roho Mtakatifu alishuka juu ya Bwana Yesu kwa mfano wa nini? Nyota Mwanga Huwa kivuli 2. Babaye Bwana Yesu aliitwa nani? Yosia Baba mtakatifu Yusufu wa Arimathaya Yusufu 3. Taa ya mwili ni nini? Jicho Hekima Moyo Akili 4. Pazia la Hekalu lilipasuka vipande vingapi, baada ya Bwana kufa? Vipande 2 Vipande 3 Vipande 7 Vipande 12 5. Aliyemfuata Bwana Yesu juu ya maji ni nani? Yohana Petro Andrea Tomaso 6. Heri wenye upole kwa maana? watairithi nchi watapiganiwa watapendwa watainuliwa 7. Jina lingine la Simoni Petro ni nani? Simoni Bar-Yona Petro-Yusto Petro-Mgalilaya Simon Mkananayo 8. Roho ya Eliya ilikuwa juu ya nani? Yohana Mbatizaji Bwana Yesu Paulo Yohana wa Patmo 9. Walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina la Bwana.. Yeye atawatokea Yeye yupo katikati yao Yeye atawatuma Yeye atawaokoa 10. Madhehebu ya Wayahudi mawili yalikuwa ni yapi? Mafarisayo na Masadukayo Maherode na Maherodia Waandishi na wanasheria Makuhani na Waandishi 11. Nani mwandishi wa kitabu cha Mathayo? Paulo Mathayo Bwana Yesu Yohana Mbatizaji 12. Mwanafunzi gani aliyemkata mtumwa wa kuhani mkuu sikio? Yuda Petro Thadayo Tomaso 13. Heri walio maskini wa roho; kwa maana?. watafarijiwa watakuwa matajiri Ufalme wa mbinguni ni wao wataokolewa 14. Bwana Yesu alijaribiwa kwa siku ngapi jangwani? 70 20 40 3 15. Mamaye Bwana Yesu aliitwa nani? Mariamu Magdalene Mariamu Miriamu Hana 16. Bwana Yesu alizaliwa katika mji upi? Yerusalemu Nazareti Galilaya Bethlehemu 17. Ni nani aliyemkata kichwa Yohana Mbatizaji? Herode Kayafa Pilato Kaisari 18. Kitabu cha Injili ya Mathayo kina sura ngapi? 28 40 18 24 19. Imani ndogo kama nini inaweza kuhamisha milima? Ndogo kama punje ya mchanga Chembe ya Ngano Chembe ya haradali Mbegu ya mchicha 20. Chachu ya Mafarisayo na Masadukayo ni nini? Mafundisho yao Mienendo yao Dini yao Maisha yao 21. Mwanamke aliyetokwa na damu alikuwa na ugonjwa huo kwa muda gani? miaka 8 Miaka 20 miaka 40 Miaka 12 22. Yohana Mbatizaji alitokea wapi? Nyika ya Uyahudi Samaria Yordani Bethlehemu 23. Bwana Yesu alitokea katika kabila lipi la Israeli? Yuda Lawi Bethlehemu Manase 24. Ni nini kilitoka ubavuni mwa Yesu pale Kalvari? Damu na Roho Damu na Maji Roho na Damu Damu 25. Ya Kaisari anayopaswa apewe ni yapi? Anasa Kodi Dhambi Starehe 26. Mwanafunzi gani aliyemkana Bwana Yesu? Andrea Petro Filipo Yuda 27. Mathayo alikuwa anafanya shughuli gani kabla ya kukutana na Bwana? Ujenzi Tabibu Mtoza ushuru USeremala 28. Mamajusi walitokea wapi? Ashuru Mashariki ya mbali Moabu Misri 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Maswali ni rahisi lakini kama hujafuatilia hicho kitabu vizuri utakuwa na tashwiswi kama Mimi, inanibidi nirudie hicho kitabu Reply
Nimejifunza kitu na ukizingatia hivi karibuni Nina mtihani wa bible mlango wa mathayo kwa kweli nimefunguliwa ufahamu wangu Reply
Mungu ni mwema kabisa Hallelujah kitabu Cha Mathayo Mtakatifu kinalenga hasa kuonyesha Namna Yesu alifanya kazi na Namna Imani yetu inaweza kutuweka huru kama tukimtafuta Mungu Reply
Maswali ni rahisi lakini kama hujafuatilia hicho kitabu vizuri utakuwa na tashwiswi kama Mimi, inanibidi nirudie hicho kitabu
Ni kweli, maswali si magumu
I got everything
Hongera sana…yanakuja mengine
I need them
Kuna haja ya kusoma sana biblia
Amen
Nimejifunza kitu na ukizingatia hivi karibuni Nina mtihani wa bible mlango wa mathayo kwa kweli nimefunguliwa ufahamu wangu
Amen atukuzwe Bwana..
Mungu ni mwema kabisa
Hallelujah kitabu Cha Mathayo Mtakatifu kinalenga hasa kuonyesha Namna Yesu alifanya kazi na Namna Imani yetu inaweza kutuweka huru kama tukimtafuta Mungu