MASWALI, INJILI YA MATHAYO Welcome to your Maswali, Injili ya Mathayo 1. Mamaye Bwana Yesu aliitwa nani? Miriamu Mariamu Magdalene Hana Mariamu 2. Babaye Bwana Yesu aliitwa nani? Yosia Baba mtakatifu Yusufu Yusufu wa Arimathaya 3. Heri walio maskini wa roho; kwa maana?. watafarijiwa wataokolewa watakuwa matajiri Ufalme wa mbinguni ni wao 4. Bwana Yesu alizaliwa katika mji upi? Bethlehemu Galilaya Yerusalemu Nazareti 5. Roho Mtakatifu alishuka juu ya Bwana Yesu kwa mfano wa nini? Nyota kivuli Huwa Mwanga 6. Kitabu cha Injili ya Mathayo kina sura ngapi? 24 18 40 28 7. Chachu ya Mafarisayo na Masadukayo ni nini? Mafundisho yao Maisha yao Dini yao Mienendo yao 8. Mwanamke aliyetokwa na damu alikuwa na ugonjwa huo kwa muda gani? Miaka 12 miaka 40 Miaka 20 miaka 8 9. Walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina la Bwana.. Yeye atawatokea Yeye atawatuma Yeye yupo katikati yao Yeye atawaokoa 10. Ni nini kilitoka ubavuni mwa Yesu pale Kalvari? Damu na Maji Damu Damu na Roho Roho na Damu 11. Jina lingine la Simoni Petro ni nani? Petro-Yusto Simoni Bar-Yona Simon Mkananayo Petro-Mgalilaya 12. Pazia la Hekalu lilipasuka vipande vingapi, baada ya Bwana kufa? Vipande 12 Vipande 3 Vipande 7 Vipande 2 13. Aliyemfuata Bwana Yesu juu ya maji ni nani? Petro Tomaso Yohana Andrea 14. Mamajusi walitokea wapi? Ashuru Moabu Misri Mashariki ya mbali 15. Taa ya mwili ni nini? Akili Hekima Jicho Moyo 16. Imani ndogo kama nini inaweza kuhamisha milima? Chembe ya Ngano Chembe ya haradali Mbegu ya mchicha Ndogo kama punje ya mchanga 17. Yohana Mbatizaji alitokea wapi? Bethlehemu Samaria Nyika ya Uyahudi Yordani 18. Mathayo alikuwa anafanya shughuli gani kabla ya kukutana na Bwana? Mtoza ushuru Ujenzi Tabibu USeremala 19. Ni nani aliyemkata kichwa Yohana Mbatizaji? Kaisari Kayafa Pilato Herode 20. Madhehebu ya Wayahudi mawili yalikuwa ni yapi? Maherode na Maherodia Makuhani na Waandishi Mafarisayo na Masadukayo Waandishi na wanasheria 21. Bwana Yesu alitokea katika kabila lipi la Israeli? Bethlehemu Lawi Yuda Manase 22. Nani mwandishi wa kitabu cha Mathayo? Yohana Mbatizaji Paulo Bwana Yesu Mathayo 23. Roho ya Eliya ilikuwa juu ya nani? Yohana Mbatizaji Yohana wa Patmo Paulo Bwana Yesu 24. Mwanafunzi gani aliyemkana Bwana Yesu? Filipo Andrea Yuda Petro 25. Heri wenye upole kwa maana? watapendwa watainuliwa watairithi nchi watapiganiwa 26. Mwanafunzi gani aliyemkata mtumwa wa kuhani mkuu sikio? Thadayo Tomaso Petro Yuda 27. Ya Kaisari anayopaswa apewe ni yapi? Kodi Starehe Anasa Dhambi 28. Bwana Yesu alijaribiwa kwa siku ngapi jangwani? 70 3 40 20 1 out of 1 Please fill in the comment box below. Time is Up! Time's up
Maswali ni rahisi lakini kama hujafuatilia hicho kitabu vizuri utakuwa na tashwiswi kama Mimi, inanibidi nirudie hicho kitabu Reply
Nimejifunza kitu na ukizingatia hivi karibuni Nina mtihani wa bible mlango wa mathayo kwa kweli nimefunguliwa ufahamu wangu Reply
Mungu ni mwema kabisa Hallelujah kitabu Cha Mathayo Mtakatifu kinalenga hasa kuonyesha Namna Yesu alifanya kazi na Namna Imani yetu inaweza kutuweka huru kama tukimtafuta Mungu Reply
Maswali ni rahisi lakini kama hujafuatilia hicho kitabu vizuri utakuwa na tashwiswi kama Mimi, inanibidi nirudie hicho kitabu
Ni kweli, maswali si magumu
I got everything
Hongera sana…yanakuja mengine
I need them
Kuna haja ya kusoma sana biblia
Amen
Nimejifunza kitu na ukizingatia hivi karibuni Nina mtihani wa bible mlango wa mathayo kwa kweli nimefunguliwa ufahamu wangu
Amen atukuzwe Bwana..
Mungu ni mwema kabisa
Hallelujah kitabu Cha Mathayo Mtakatifu kinalenga hasa kuonyesha Namna Yesu alifanya kazi na Namna Imani yetu inaweza kutuweka huru kama tukimtafuta Mungu
Naomb mtihan niw nao
karibu