Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lisifwe…Nawasalimu nyote, natumai tu wazima kwa Neema za Bwana Yesu… Tukaribie pamoja tuyatafakari Maneno ya Mungu wetu kila siku….. Leo kwa Neema za Bwana tutatafakari andiko moja ambalo limekuwa likijulikana na wengi na kufahamika sana,,lakini kuna namna nyingine ambayo Bwana anatamani tuifahamu maana Biblia inasema… Zaburi 12:6 [6]Maneno ya…
Month: September 2022
WANAWAKE WATAKATIFU WA ZAMANI WALIOMTUMAINI MUNGU
Nakusalimu Kwa Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, Karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa na mwanga wa maisha yetu…. Leo kwa Neema za Bwana tutajifunza mambo kutoka kwa wanawake watakatifu wa zamani, naamini wewe kama Binti, dada,Mama, una cha kujifunza kutoka kwa hawa wanawake Lakini kabla ya kuendelea mbele hebu tueke msingi kidogo,…….
WALAKINI ATAOKOLEWA KWA UZAZI WAKE
Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele na milele, Yeye aliye Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Aliyekuwepo, aliyeko na atakayekuja…. Nikukaribishe Dada, Binti, Mama, tuyatafakari Maneno ya Mungu wetu ili tuongeze Maarifa zaidi kila wakati…. Imetupasa tuwe watu wa kuongeza maarifa kila siku, na tunayaongeza Maarifa kwa kusoma Neno la Mungu, Biblia takatifu,…