1.
Ni kitu gani alichokuwa nacho Sulemani ambacho hakukua na Mfalme yoyote aliyekuwa nacho?
2.
Sulemani alimpa nini Mfalme wa Tiro?
3.
Sulemani alifanya nini kilichomkasirisha Mwenyezi Mungu?
4.
Malkia wa Sheba alimpelekea nini Mfame Sulemani kama zawadi?
5.
Mfalme Sulemani alikua na wake wangapi?
6.
Ni miungu gani mingine Sulemani aliyoiabudu?
7.
Ni nabii gani ambaye alimtia moyo Yeroboamu kuchukua ufalme wa Sulemani?
8.
Nani alikua Mfalme baada ya kifo cha Sulemani?
9.
Rehoboamu aliwatisha watu wa Israeli kuwa atawapiga na nini?
10.
Yeroboamu alichagua makuhani katikq kabila gani?
11.
Ni aina gani ya mnyama ambao alimuua mtumishi wa Mungu aliyekuwa ametumwa kwa Yeroboamu hujo Betheli?
12.
Yeroboamu alitawala Israeli kwa mda gani?
13.
Ni nchi ipi alishambulia mji wa Yerusalemu kipindi cha ufalme wa Yehoboamu?
14.
Ni Mfalme yupi wa Yuda aliyemvua maa yake cheo cha mama Malkia?
15.
Ni kwa mda gani Mfalme Zimri alitawala Israeli?
Jesus
Thank you