Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

MTIHANI WA BIBLIA (part 21)

Posted on March 31, 2023

____Maswali ya biblia_____

1.je ni nani aliye wakosesha Israeli kupigwa walipo enda kipigana naTaifa Ai Taifa dogo sana, na kupelekea Israel kupigwa.

________________
2.je wana wa Asafu ni kabila gani?

_________________
3.Je nimfalme gani aliye oteshwa kuwa ufalme wake umekatwa kimebaki kisiki katika shina?

___________________
4. Je mke wa kwanza aliye mwoa Daudi nia nani?

___________________
5.Je ni Kwanini Yezebeli alimwua Nabothi?

____________________
6.je Dada yake Absalomu aliitwa nani?

____________________
7. Je Yuda mwana wa Yakobo. Alizaa watoto wa kiume wangapi?

_____________________
8; katika biblia ni Malkia gani aliye itwa na mfalme akadharau wito wake na kutolewa nafasi ya umalkia.

_____________________
9.je katika nyaraka za paulo ni kitabu gani alicho kiandika kwa lengo la kuwapatanisha ndugu wawili mtu na mfanya kazi wake walio koseana na kutengana kwa Muda mrefu?

______________________
10. Ni nini maana ya wanikolai?

_____________________

BWANA YESU akubariki, shea na kwa wengine.

@NURU YA UPENDO WA KRISTO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

 

09/02/2023

___MASAHIHISHO LEO____

MTIHANI WA BIBLIA (part 21)
____Maswali ya biblia_____

1.je ni nani aliye wakosesha Israeli kupigwa walipo enda kipigana naTaifa Ai Taifa dogo sana, na kupelekea Israel kupigwa.

Jibu. AKANI MWANA WA ZERA
Soma. Yoshua 7:1-26
________________
2.je wana wa Asafu ni kabila gani?

Jibu. LAWI
Soma. 1Nyakati 15:16-19
_________________
3.Je nimfalme gani aliye oteshwa kuwa ufalme wake umekatwa kimebaki kisiki katika shina?

Jibu. NEBUKADNEZA
Soma. Danieli 4:9-15
___________________
4. Je mke wa kwanza aliye mwoa Daudi nia nani?

Jibu. MIKALI BINTI SAULI
Soma.1Samweli 18:27
___________________
5.Je ni Kwanini Yezebeli alimwua Nabothi?

Jibu. Ni kwasababu ya kiwanja cha Nabothi alichokuwa anakitaka mfalme Ahabu alipo kosa ndipo Yezebeli akaandaa njama za kumwua Nabothi

Soma. 1WAFALME 21;1-6
____________________
6.je Dada yake Absalomu aliitwa nani?

Jibu. TAMALI
Soma. 2Samweli 13:1
____________________
7. Je Yuda mwana wa Yakobo. Alizaa watoto wa kiume wangapi?

Jibu. WATOTO WATANO
KWA SHUA WATOTO WATATU
1.ERI
2.ONANI
3.SHELA

. KWA TAMARI WAWILI
1.ZERA
2.PERESI
Soma.28;1-30
_____________________
8; katika biblia ni Malkia gani aliye itwa na mfalme akadharau wito wake na kutolewa nafasi ya umalkia.

Jibu. VASHTI
Soma. Esta 1;1-22
_____________________
9.je katika nyaraka za paulo ni kitabu gani alicho kiandika kwa lengo la kuwapatanisha ndugu wawili mtu na mfanya kazi wake walio koseana na kutengana kwa Muda mrefu?

Jibu. KITABU CHA FILEMONI
Upatanishi kati ya FILEMONI na ONESIMO

Soma. Filemoni 1;8-21

Ikiwa unahitaji ufafanuzi Zaidi wa kitabu hiki cha filemoni tutafute kwa namba hizi
0652274252 au 0693036618
______________________
10. Ni nini maana ya wanikolai?

Jibu. (Wateka madhabahu) watumishi wauongo wanaoleta mafundisho ya kibinadamu kanisani yasiyo ya ROHO MTAKATIFU na NENO LA MUNGU

Soma. ufunuo 2:5-6

Pia ukihitaji kujifunza zaidi kwa habari ya wanikolai ni watu gani na madhara yao ndani ya kanisa tutafute kwa namba hizi 0652274252 au 0693036618
_____________________

BWANA YESU akubariki, shea na kwa wengine.

@NURU YA UPENDO WA KRISTO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

PDF
Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments

Recent Comments

  1. Lillie on MASWALI YA KITABU CHA 1 WAFALME, I
  2. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz