Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

MTIHANI WA BIBLIA (part 17)

Posted on March 31, 2023

___Maswali ya biblia___

1.yule mkushi alikuwa anasoma kitabu gani alipo kutana na filipo?

________________
2.je amri ya 6 inasemaje?

________________
3.je vile vinara saba vya taa vinawakilisha nini katika agano jipya?

_________________
4.Katika waraka wa Yuda, je Yuda aliwaandikia akina nani?

________________
5.Je ni mwanamke gani katika biblia aliye leta miungu katika Israeli?

________________
6.wakati Bwana amefufuka ni nani aliye sema hataamini mpaka atakapo mwona Bwana kwa macho?

________________
7.je wenye uhai wanne wana mabawa mangapi?

_________________
8. Bwana Yesu ule mfano wa mpanzi, je mbegu ilikuwa ina maana gani?

_________________
9.je ni nani aliye mdanganya Hawa?

__________________
10. Je LUTU alikuwa na watoto wangapi?

___________________

Ubarikiwe na Bwana ,shea na kwa wengine.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

 

 

 

 

05/03/2023

MASAHIHISHO YA MTIHANI LEO

MTIHANI WA BIBLIA (part 17)
___Maswali ya biblia___

1.yule mkushi alikuwa anasoma kitabu gani alipo kutana na filipo?

Jibu. Isaya 53;7-8
________________
2.je amri ya 6 inasemaje?

Jibu. Usiue
Soma. Kutoka 20;13
________________
3.je vile vinara saba vya taa vinawakilisha nini katika agano jipya?

Jibu. Makanisa saba
1)Efeso
2) Smirna
3)Pergamo
4)Thiatira
5)Sardi
6)Filadelfia
7)Laokadia (tulilopo sasa)

Soma ufunuo 1;20
_________________
4.Katika waraka wa Yuda, je Yuda aliwaandikia akina nani?

Jibu. Kanisa la Kristo ulimwenguni kote (walio itwa)
Soma Yuda 1;1

Pia ukihitaji kujifunza juu ya kitabu hiki mafundisho yake na maonyo yake tutafute kwa namba hizi 0652274252 au 0693036618
________________
5.Je ni mwanamke gani katika biblia aliye leta miungu katika Israeli?

Jibu. YEZEBELI
Soma. 1Wafalme 16:31-33 pia soma 1wafalme 19:1-2
________________
6.wakati Bwana amefufuka ni nani aliye sema hataamini mpaka atakapo mwona Bwana kwa macho?

Jibu. Tomaso
Soma. Yohana 20;24-29
________________
7.je wenye uhai wanne wana mabawa mangapi?

Jibu. SITA
Soma. Ufunuo 4:8
_________________
8. Bwana Yesu ule mfano wa mpanzi, je mbegu ilikuwa ina maana gani?

Jibu. NENO LA MUNGU
soma. Luka 8;11
_________________
9.je ni nani aliye mdanganya Hawa?

Jibu. Nyoka
Soma. Mwanzo 3;1-5
__________________
10. Je LUTU alikuwa na watoto wangapi?

Jibu. Watoto wanne
=Wawili mabinti zake aliotoka nao sodoma
=Wawili ni kwa mabinti zake yeye mwenyewe (walipo mlevya baba yao na kulala nae) watoto hao ni Moabu na Benami.
___________________

Ubarikiwe na Bwana ,shea na kwa wengine.

@NURU YA UPENDO
www.wingulamashahidi.org
0652274252 au 0693036618

PDF
Subscribe
Login
Notify of
guest


guest

0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments

Recent Comments

  1. Lillie on MASWALI YA KITABU CHA 1 WAFALME, I
  2. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
wpDiscuz