Karibu sana katika tovuti hii ya ndoto zangu ili uweze kujifunza kwa kupitia ndoto uotazo… Jina la Yesu Kristo lihimidiwe milele yote…. Maandiko yanasema Mungu anasema na sisi kupitia ndoto tuotazo,yawezekawa mara moja mpaka mara tatu kwa lengo la kusisisitiza ndoto hiyo… Na ndoto nyingi huja kulingana na shughuli zetu nyingi na mihangaiko mingi ya…
Month: November 2022

Tusiviangalie Vinavoonekana,bali Visivyoonekana”
Karibu tujifunze Maneno ya Mungu,Muumba mbingu na nchi,yeye aliyekuwepo tangu misingi ya ulimwengu hu haijawekwa 1 Petro 1:20 Ni neema za Bwana wetu Yesu Kristo kuiona siku nyingine ili tuweze kuongeza maarifa katika kumjua yeye milele yote….. Maandiko yanatuambia tusiviangalie vinavyoonekana bali visivyoonekana, na leo tutavijua vinavyoonekana ni vipi na visivyoonekana ni vipi.. 2 Wakorintho…

KUISHI MAISHA MATAKATIFU INAWEZEKANA KABISA
Kabla ya kuendelea na namna ya kuishi maisha matakatifu, tuelewe kwanza nini maana ya maisha matakatifu Maisha matakatifu ni maisha yasiyokuwa na uchafu ndani yake, maisha ambayo yanaendana kwa kuyafanya mapenzi ya Mungu kama alivyo agiza katika neno lake, pia ni maisha yasiyotawaliwa na mawazo maovu mfano uzinzi, usherati, wizi, ugomvi, fitina, uongo, chuki, hasira,…