Menu
NDOTO ZANGU
  • ORODHA YA NDOTO
  • MASOMO YA WANAWAKE
  • QUIZZES/ MITIHANI YA BIBLIA
NDOTO ZANGU

KUOTA UNAIBIWA SIMU AU UNANYANG’ANYWA

Posted on December 27, 2022

Utukufu na heshima na mamlaka na zivume kwake Bwana wetu Yesu Kristo milele na milele….

Karibu tujifunze kwa njia ya ndoto…Kama una ndoto yako unayohisi inahitaji ufumbuzi wa Kimaandiko basi usisite kuiandika kwenye comment….

Sisi wanadamu kifaa ambacho kimekuwa na umuhimu sana katika ulimwengu wa sasa ni Simu,na kimekuwa cha muhimu kwsababu kina uwezo wa kutoa taarifa moja kwenda sehemu nyingine kwa urahisi…kimeweza kutupa Mawasiliano ya haraka sana

Sasa ikiwa ndoto hi ya kuibiwa simu au unaota unanyanganywa simu na watu unaowajua au usiowajua na inakuja kwako kwa uzito kidogo basi lipo jambo la kuzingatia sana…

Kipindi cha Adamu alikuwa na uwezo wa kuwasiliana na kuongea na Mungu ana kwa Ana pasipo shida yoyote lakini uovu ulipoingia yale Mawasiliano yalikata gafla…

Mwanzo 3:6-10

[6]Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.

[7]Wakafumbuliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wa uchi, wakashona majani ya mtini, wakajifanyia nguo.

[8]Kisha wakasikia sauti ya BWANA Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, BWANA Mungu asiwaone.

[9]BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?

[10]Akasema, Nalisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha.

Jiangalie sana ujihakiki katika wokovu wako ni wapi unalegalega upaimarishe,chunguza mwenendo wako wa uKristo,dhambi na mambo maovu ndiyo yanayofanya upoteze mawasiliano na mahusiano na Mungu,Acha uzinzi,ulevi,matukano na mambo yote mabaya ili uende sawa na Mungu…..

 

Shalom…

 

PDF
Subscribe
Login
Notify of
guest

guest

12 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Goodluck
Goodluck
Guest
2 years ago

Amina

2
Reply
jame
jame
Guest
Reply to  Goodluck
1 year ago

hakika

1
Reply
Lucky
Lucky
Guest
Reply to  Goodluck
1 year ago

Ok

0
Reply
Magdalena
Magdalena
Guest
2 years ago

🙏

0
Reply
watakatifuwasikuzamwisho
watakatifuwasikuzamwisho
Admin
Reply to  Magdalena
1 year ago

shalom

0
Reply
Lucky
Lucky
Guest
Reply to  Magdalena
1 year ago

Wema wa Mungu

0
Reply
watakatifuwasikuzamwisho
watakatifuwasikuzamwisho
Admin
1 year ago

Uweza wa Bwana ni mkuu

1
Reply
jame
jame
Guest
1 year ago

Bwana Yesu asifiwe

0
Reply
watakatifuwasikuzamwisho
watakatifuwasikuzamwisho
Admin
Reply to  jame
1 year ago

Amen karibu..

0
Reply
jame
jame
Guest
1 year ago

Mungu ni mwema

0
Reply
jame
jame
Guest
1 year ago

mm

0
Reply
watakatifuwasikuzamwisho
watakatifuwasikuzamwisho
Admin
1 year ago

bwana ni bwana

0
Reply

Recent Comments

  1. Lillie on MASWALI YA KITABU CHA 1 WAFALME, I
  2. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  3. Noel Swai on MASWALI, INJILI YA MATHAYO
  4. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA YOSHUA I
  5. watakatifuwasikuzamwisho on MASWALI YA KITABU CHA MWANZO

Palipo na Roho wa Bwana hapo ndipo penye uhuru
©2025 NDOTO ZANGU | Powered by SuperbThemes & WordPress
wpDiscuz