{"id":953,"date":"2022-10-03T20:35:16","date_gmt":"2022-10-03T20:35:16","guid":{"rendered":"https:\/\/ndotozangu.com\/?p=953"},"modified":"2022-10-16T18:33:59","modified_gmt":"2022-10-16T18:33:59","slug":"kuota-mti-umeanguka-2","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/2022\/10\/03\/kuota-mti-umeanguka-2\/","title":{"rendered":"KUOTA MTI UMEANGUKA"},"content":{"rendered":"<p style=\"text-align: left;\">Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe, karibu ujifunze kwa kupitia ndoto&#8230;&#8230;..<\/p>\n<p>Mara nyingi ndoto tuotazo huwa zinakuja kwa shughuli nyingi..lakini ikitokea imekuja kwa uzito kidogo, basi yakupasa utafute maana halisi&#8230;<\/p>\n<p>Kuota mti au kuuona mti kwenye ndoto kuna maana nyingi kulingana na ujumbe ambao Bwana anataka kuufikisha, maandiko yameeleza wazi nini maana ya mti&#8230;<\/p>\n<blockquote><p>Marko 8:24<\/p>\n<p>[24]Akatazama juu, akasema, Naona watu kama miti, inakwenda.<\/p><\/blockquote>\n<p>Maana yake mti kibiblia unawakilisha mtu, na kama umeona umeanguka ni ishara ya kuanguka\/anguko la Kimwili, uchumi, kiafya, au ni kifo moja kwa moja pamoja na Kutengwa na uso wa Mungu&#8230;&#8230;<\/p>\n<p>Kama ulishawahi kuiota hiyo ndoto au umeiota basi jiangalie sana mara mbili&#8230;<\/p>\n<blockquote><p>Danieli 4:20-22<br \/>\n[20]Ule mti uliouona, uliokua, ukawa na nguvu, urefu wake ukafika mpaka mbinguni, na kuonekana kwake mpaka dunia yote;<\/p>\n<p>[21]ambao majani yake yalikuwa mazuri, na matunda yake mengi, na ndani yake chakula cha kuwatosha wote; ambao chini yake wanyama wa kondeni walikaa, na ndege wa angani walikuwa na makao yao katika matawi yake;<\/p>\n<p>[22]ni wewe, Ee mfalme, uliyekua, na kupata nguvu; maana ukuu wako umekua na kufika mpaka mbinguni, na mamlaka yako yamefika mpaka mwisho wa dunia.<\/p><\/blockquote>\n<p>Tubu leo dhambi zako kwa kumaanisha kuziacha kabisa ili anguko hilo lisikupate\u00a0 na kisha ukabatizwe ubatizo sahihi wa maji mengi na kwa Jina la Yesu na\u00a0 umgeukie Bwana.,,<\/p>\n<p>Bwana wetu anakuja&#8230;..<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><b>Mada zinginezo;<\/b><\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><a href=\"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/2022\/03\/14\/kuota-unalishwa-vitu-au-unakula-vitu\/\"><b>KUOTA UNALISHWA VITU AU UNAKULA VITU.<\/b><\/a><\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><a href=\"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/2022\/02\/20\/kuota-umechelewa-kwenye-harusi\/\"><b>KUOTA UMECHELEWA KWENYE HARUSI.<\/b><\/a><\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><a href=\"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/2022\/02\/11\/maana-ya-kuota-unafanya-mapenzi\/\"><b>MAANA YA KUOTA UNAFANYA MAPENZI.<\/b><\/a><\/p>\n<p style=\"text-align: center;\"><a href=\"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/2021\/12\/06\/kuota-unaokota-hela\/\"><b>KUOTA UNAOKOTA HELA<\/b><\/a><\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe, karibu ujifunze kwa kupitia ndoto&#8230;&#8230;.. Mara nyingi ndoto tuotazo huwa zinakuja kwa shughuli nyingi..lakini ikitokea imekuja kwa uzito kidogo, basi yakupasa utafute maana halisi&#8230; Kuota mti au kuuona mti kwenye ndoto kuna maana nyingi kulingana na ujumbe ambao Bwana anataka kuufikisha, maandiko yameeleza wazi nini maana ya mti&#8230; Marko 8:24&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":5,"featured_media":1082,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":[],"categories":[1],"tags":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/953"}],"collection":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/5"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=953"}],"version-history":[{"count":7,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/953\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":1083,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/953\/revisions\/1083"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media\/1082"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=953"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=953"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=953"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}