{"id":1536,"date":"2023-03-31T12:24:45","date_gmt":"2023-03-31T12:24:45","guid":{"rendered":"https:\/\/ndotozangu.com\/?p=1536"},"modified":"2023-03-31T12:24:45","modified_gmt":"2023-03-31T12:24:45","slug":"mtihani-wa-biblia-part-17","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/2023\/03\/31\/mtihani-wa-biblia-part-17\/","title":{"rendered":"MTIHANI WA BIBLIA (part 17)"},"content":{"rendered":"<p>___Maswali ya biblia___<\/p>\n<p>1.yule mkushi alikuwa anasoma kitabu gani alipo kutana na filipo?<\/p>\n<p>________________<br \/>\n2.je amri ya 6 inasemaje?<\/p>\n<p>________________<br \/>\n3.je vile vinara saba vya taa vinawakilisha nini katika agano jipya?<\/p>\n<p>_________________<br \/>\n4.Katika waraka wa Yuda, je Yuda aliwaandikia akina nani?<\/p>\n<p>________________<br \/>\n5.Je ni mwanamke gani katika biblia aliye leta miungu katika Israeli?<\/p>\n<p>________________<br \/>\n6.wakati Bwana amefufuka ni nani aliye sema hataamini mpaka atakapo mwona Bwana kwa macho?<\/p>\n<p>________________<br \/>\n7.je wenye uhai wanne wana mabawa mangapi?<\/p>\n<p>_________________<br \/>\n8. Bwana Yesu ule mfano wa mpanzi, je mbegu ilikuwa ina maana gani?<\/p>\n<p>_________________<br \/>\n9.je ni nani aliye mdanganya Hawa?<\/p>\n<p>__________________<br \/>\n10. Je LUTU alikuwa na watoto wangapi?<\/p>\n<p>___________________<\/p>\n<p>Ubarikiwe na Bwana ,shea na kwa wengine.<\/p>\n<p>@NURU YA UPENDO<br \/>\nwww.wingulamashahidi.org<br \/>\n0652274252 au 0693036618<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p>05\/03\/2023<\/p>\n<p>MASAHIHISHO YA MTIHANI LEO<\/p>\n<p>MTIHANI WA BIBLIA (part 17)<br \/>\n___Maswali ya biblia___<\/p>\n<p>1.yule mkushi alikuwa anasoma kitabu gani alipo kutana na filipo?<\/p>\n<p>Jibu. Isaya 53;7-8<br \/>\n________________<br \/>\n2.je amri ya 6 inasemaje?<\/p>\n<p>Jibu. Usiue<br \/>\nSoma. Kutoka 20;13<br \/>\n________________<br \/>\n3.je vile vinara saba vya taa vinawakilisha nini katika agano jipya?<\/p>\n<p>Jibu. Makanisa saba<br \/>\n1)Efeso<br \/>\n2) Smirna<br \/>\n3)Pergamo<br \/>\n4)Thiatira<br \/>\n5)Sardi<br \/>\n6)Filadelfia<br \/>\n7)Laokadia (tulilopo sasa)<\/p>\n<p>Soma ufunuo 1;20<br \/>\n_________________<br \/>\n4.Katika waraka wa Yuda, je Yuda aliwaandikia akina nani?<\/p>\n<p>Jibu. Kanisa la Kristo ulimwenguni kote (walio itwa)<br \/>\nSoma Yuda 1;1<\/p>\n<p>Pia ukihitaji kujifunza juu ya kitabu hiki mafundisho yake na maonyo yake tutafute kwa namba hizi 0652274252 au 0693036618<br \/>\n________________<br \/>\n5.Je ni mwanamke gani katika biblia aliye leta miungu katika Israeli?<\/p>\n<p>Jibu. YEZEBELI<br \/>\nSoma. 1Wafalme 16:31-33 pia soma 1wafalme 19:1-2<br \/>\n________________<br \/>\n6.wakati Bwana amefufuka ni nani aliye sema hataamini mpaka atakapo mwona Bwana kwa macho?<\/p>\n<p>Jibu. Tomaso<br \/>\nSoma. Yohana 20;24-29<br \/>\n________________<br \/>\n7.je wenye uhai wanne wana mabawa mangapi?<\/p>\n<p>Jibu. SITA<br \/>\nSoma. Ufunuo 4:8<br \/>\n_________________<br \/>\n8. Bwana Yesu ule mfano wa mpanzi, je mbegu ilikuwa ina maana gani?<\/p>\n<p>Jibu. NENO LA MUNGU<br \/>\nsoma. Luka 8;11<br \/>\n_________________<br \/>\n9.je ni nani aliye mdanganya Hawa?<\/p>\n<p>Jibu. Nyoka<br \/>\nSoma. Mwanzo 3;1-5<br \/>\n__________________<br \/>\n10. Je LUTU alikuwa na watoto wangapi?<\/p>\n<p>Jibu. Watoto wanne<br \/>\n=Wawili mabinti zake aliotoka nao sodoma<br \/>\n=Wawili ni kwa mabinti zake yeye mwenyewe (walipo mlevya baba yao na kulala nae) watoto hao ni Moabu na Benami.<br \/>\n___________________<\/p>\n<p>Ubarikiwe na Bwana ,shea na kwa wengine.<\/p>\n<p>@NURU YA UPENDO<br \/>\nwww.wingulamashahidi.org<br \/>\n0652274252 au 0693036618<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>___Maswali ya biblia___ 1.yule mkushi alikuwa anasoma kitabu gani alipo kutana na filipo? ________________ 2.je amri ya 6 inasemaje? ________________ 3.je vile vinara saba vya taa vinawakilisha nini katika agano jipya? _________________ 4.Katika waraka wa Yuda, je Yuda aliwaandikia akina nani? ________________ 5.Je ni mwanamke gani katika biblia aliye leta miungu katika Israeli? ________________ 6.wakati&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":[],"categories":[1],"tags":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/1536"}],"collection":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=1536"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/1536\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":1537,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/1536\/revisions\/1537"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=1536"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=1536"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=1536"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}