{"id":1529,"date":"2023-03-31T12:21:02","date_gmt":"2023-03-31T12:21:02","guid":{"rendered":"https:\/\/ndotozangu.com\/?p=1529"},"modified":"2023-03-31T12:21:02","modified_gmt":"2023-03-31T12:21:02","slug":"mtihani-wa-biblia-part-14-maswali-ya-biblia","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/2023\/03\/31\/mtihani-wa-biblia-part-14-maswali-ya-biblia\/","title":{"rendered":"MTIHANI WA BIBLIA (part 14) (MASWALI YA BIBLIA)"},"content":{"rendered":"<p>1.Kwanini Mfalme Daudi hakumjengea Mungu hekalu?<\/p>\n<p>__________________<br \/>\n2.Sulemani alikuwa na wake wangapi?<\/p>\n<p>_________________<br \/>\n3. Jemedari wa jeshi la Sauli aliitwa nani?<\/p>\n<p>________________<br \/>\n4.Kuhani wa kwanza kwenye biblia alikuwa ni nani?<\/p>\n<p>_________________<br \/>\n5.Mtoto wa Yezebeli aliitwa nani<\/p>\n<p>__________________<br \/>\n6.Je ni watu gani waliokuwa wapinzani wa Nehemia katika kuujenga Yerusalemu?<\/p>\n<p>________________<br \/>\n7.katika biblia ni nani ambaye punda wake aliongea na kwanini?<\/p>\n<p>_________________<br \/>\n8.Hadasa ni nani katika biblia?<\/p>\n<p>_________________<br \/>\n9. (Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ) je kifungu hiki kinapatikana wapi katika biblia<\/p>\n<p>_________________<br \/>\n10. Kitabu cha ufunuo Yohana ,Mtume Yohana alikiandika akiwa wapi?<\/p>\n<p>Nakutakia mtihani mwema Mjoli wa Bwana.<\/p>\n<p>@NURU YA UPENDO<br \/>\nwww.wingulamashahidi.org<br \/>\n0652274252 au 0693036618<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n<p>02\/03\/2023<\/p>\n<p>MASAHIHISHO YA MTIHANI LEO<\/p>\n<p>MTIHANI WA BIBLIA (part 14)<br \/>\n(MASWALI YA BIBLIA)<\/p>\n<p>1.Kwanini Mfalme Daudi hakumjengea Mungu hekalu?<\/p>\n<p>Jibu. 1)Kwasababu Daudi mikono yake ilimwaga damu nyingi sana<br \/>\nSoma. 1Nyakati 22:7-8<br \/>\n2)Alikuwa amezungukwa na maadui wengi<br \/>\nSoma 1wafalme 5:3<br \/>\n__________________<br \/>\n2.Sulemani alikuwa na wake wangapi?<\/p>\n<p>Jibu. 1000<br \/>\nAmbapo wake 700 na masulia 300<br \/>\nSoma 1Wafalme 11:1-3<br \/>\n_________________<br \/>\n3. Jemedari wa jeshi la Sauli aliitwa nani?<\/p>\n<p>Jibu. ABNELI<br \/>\nSoma. 1Samweli 14:50<br \/>\n________________<br \/>\n4.Kuhani wa kwanza kwenye biblia alikuwa ni nani?<\/p>\n<p>Jibu. MELKIZEDEKI<br \/>\nSoma. Mwanzo 14;18<br \/>\n_________________<br \/>\n5.Mtoto wa Yezebeli aliitwa nani?<\/p>\n<p>Jibu. ==Athalia 2Wafalme 8;18<br \/>\n==Yoramu 2wafalme 8-16<br \/>\n__________________<br \/>\n6.Je ni watu gani waliokuwa wapinzani wa Nehemia katika kuujenga Yerusalemu?<\/p>\n<p>Jibu. SANBALATI NA TOBIA NA GESHEMU (Wengine walikuwa nyuma ya hawa)<br \/>\nSoma .Nehemia 4:2<br \/>\n________________<br \/>\n7.katika biblia ni nani ambaye punda wake aliongea na kwanini?<\/p>\n<p>Jibu. BAALAMU<br \/>\nSababu. Aliongea kwasababu alipigwa na Baalam nabii wa uongo alipokuwa akitaka kwenda kuwa laani Israeli kwa mfalme Balaki<\/p>\n<p>Ukihitaji habari zaidi kijifunza zaidi juu ya Baalam nabii wa uongo nitafute kwa namba hizi 0652274252 au 0693036618<br \/>\n_________________<br \/>\n8.Hadasa ni nani katika biblia?<\/p>\n<p>Jibu. Malkia ESTA<br \/>\nSoma. Esta 2:7<br \/>\n_________________<br \/>\n9. (Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ) je kifungu hiki kinapatikana wapi katika biblia<\/p>\n<p>Jibu. 1petro 1:5<br \/>\n_________________<br \/>\n10. Kitabu cha ufunuo Yohana ,Mtume Yohana alikiandika akiwa wapi?<\/p>\n<p>Jibu. Katika kisiwa cha PATMO<br \/>\nSoma. Ufunuo 1:9<\/p>\n<p>BWANA YESU akubariki sana Mjoli wa Bwana.<\/p>\n<p>@NURU YA UPENDO<br \/>\nwww.wingulamashahidi.org<br \/>\n0652274252 au 0693036618<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>1.Kwanini Mfalme Daudi hakumjengea Mungu hekalu? __________________ 2.Sulemani alikuwa na wake wangapi? _________________ 3. Jemedari wa jeshi la Sauli aliitwa nani? ________________ 4.Kuhani wa kwanza kwenye biblia alikuwa ni nani? _________________ 5.Mtoto wa Yezebeli aliitwa nani __________________ 6.Je ni watu gani waliokuwa wapinzani wa Nehemia katika kuujenga Yerusalemu? ________________ 7.katika biblia ni nani ambaye punda&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":[],"categories":[1],"tags":[],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/1529"}],"collection":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=1529"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/1529\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":1530,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/1529\/revisions\/1530"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=1529"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=1529"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/ndotozangu.com\/index.php\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=1529"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}